Recent content by NAKUKUNDA TANZANIA

  1. NAKUKUNDA TANZANIA

    Lilikuwa ni kosa kubwa kuifanya Dodoma makao makuu ya nchi

    Kwahiyo umeona DAR ndio nzuri zaidi kuliko mji tulivu wenye hewa safi kama DODOMA? Hivi hizi akili za watanganyika zina matope? Okay kwahiyo ulitaka iwe wapi? CHUGA? Bure kabisa!
  2. NAKUKUNDA TANZANIA

    LGE2024 John Pambalu: Wasimamizi wa Uchaguzi jimbo la Newala Vijijini hawapo vituoni kutoa na kupokea fomu za wagombea

    Chadema hawana akili kabisa. Chadrama imejaa madrama tu. Chama dhaifu sana.
  3. NAKUKUNDA TANZANIA

    LGE2024 John Pambalu: Wasimamizi wa Uchaguzi jimbo la Newala Vijijini hawapo vituoni kutoa na kupokea fomu za wagombea

    Mlisema Magufuli ni DIKTETA, sasa pambaneni na samia ambaye sio dikteta. Watanzania wote wenye akili hawawezi kuisapoti CHAGADEMA. CHAGADEMA ni wahuni hawajielewi.
  4. NAKUKUNDA TANZANIA

    Ajira za siri za Mahakimu kutoka Tume ya Utumishi wa Mahakama

    Hata walioko kwenye database sharti watangazwe.
  5. NAKUKUNDA TANZANIA

    Ajira za siri za mahakimu kutoka Tume ya Utumishi wa Mahakama

    Tangu kuanzishwa kwake, Tume ya utumishi wa mahakama imekuwa ikiajiri mahakimu kwa kufuata utaratibu wa michujo na kuwachagua wale waliofuzu kwa vigezo stahiki kupitia tangazo maalumu na la wazi. Lakini tarehe 20 Septemba 2024 Jaji Mkuu wa Tanzania, aliwaapisha mahakimu 22 ambao baadhi yao...
  6. NAKUKUNDA TANZANIA

    Ajira za siri za Mahakimu kutoka Tume ya Utumishi wa Mahakama

    Tangu kuanzishwa kwake, Tume ya Utumishi wa Mahakama imekuwa ikitangaza rasmi ajira za Mahakimu na kuwachagua wale waliofuzu na kukidhi vigezo stahiki kwa tangazo maalumu na kwa uwazi. Lakini hivi majuzi mnamo tarehe 20 Septemba 2024, Jaji mkuu ameapisha mahakimu 22 ambao baadhi yao...
  7. NAKUKUNDA TANZANIA

    SoC04 Ukasuku wa matabibu katika tasnia ya Afya dhidi ya magonjwa sugu na ya kuambukiza; Suluhisho mbadala katika ujenzi wa Tanzania mpya

    TANBIHI: Nimetumia neno "tabibu" nikimaanisha wataalamu wote wa afya, wanasayansi na wote wanaohusika katika mlolongo mzima wa tasnia ya afya nchini. Neno "tabibu" linaweza kuwa na maana finyu katika Kamusi, lakini kwa madhumuni ya bandiko hili, neno "tabibu" litumie tafsiri niliyoitoa hapo...
Back
Top Bottom