Recent content by NAKIVONA

  1. N

    Kulikoni sasa hivi wakuu wa mikoa na wilaya wameamka na wamekuwa wakali kupita maelezo?

    Mwaka huu tutaona maigizo mengi,.Siku zote walikuwa wapi???
  2. N

    Tanzania yaumbuka leo Marekani

    Hilo nalo kubwa,tz tumezid I kupoa tutaishia kuomba mpk lini?
  3. N

    Halotel njoni haraka ili tuvunje vunje laini za Voda

    Hiyo speed kwasababu ya udogo wa wateja
  4. N

    Anna Kilango Malechela taabani kisiasa,Daudi Mambo ndio chaguo la wananchi wa Same

    Same mashariki wanataka mabadiliko,ana nyodo Huyo!!!
  5. N

    Ni halali kupokea simu ya mumeo/mkeo akipigiwa?

    Sio vzr kwani simu nyingine ukipokea unaweza kuharibu kila kitu
  6. N

    Zumbemkuu amempoteza Baba yake Mzazi

    Pole sana zumbe,kuondokewa kugumu ila ndio njia ya wote,tumuombee!
  7. N

    Anna Kilango Malechela taabani kisiasa,Daudi Mambo ndio chaguo la wananchi wa Same

    Huyo bora akatwe tu kwanza ni nabii asiyekubalika kwao
  8. N

    Mohamed Mtoi: Nitagombea Ubunge Jimbo la Lushoto

    Safi sana kamanda mtoi,SAA ya ukombozi in sasa
  9. N

    Penzi la huyu dada linanitia kiwewe

    Kutoa mimba ni tatizo,na kuwa na mtoto wa nje ya ndoa si tatizo?Fanya maamuzi magumu na utubu mungu atakusamehe nawe sio wa kwanza kufanya makosa hayo
  10. N

    Penzi la huyu dada linanitia kiwewe

    Kuepusha matatizo ya watoto wa nje ya ndoa,better hiyo mimba mkatoe fasta bado ndogo,vinginevyo umekaribisha matatizo makubwa kwenye ndoa yako,ama laa kama unampenda sana usilimu ili uruhusiwe kuwa na ndoa mbili
Back
Top Bottom