Recent content by NakazaJR

  1. NakazaJR

    Xiaomi 12S Ultra ni moto wa kuotea mbali

    Hazistahili hizo sifa unazozifia wewe kwakuzidisha chumvi. Nimequote kwakujumuisha nyuzi zako nyingine zingine pia. Wadanganye wengine wasiozitumia,ila kwa ambao tulishatumia aina zote za hiyo kampuni huwezi kutudanganya kiivyo
  2. NakazaJR

    Xiaomi 12S Ultra ni moto wa kuotea mbali

    Kwasababu unatia chumvi nyingi mno na mahaba kuzidi kanakwamba wengine hatuzijui hizo simu,unavyoisifia hiyo MIUI wakati tunaijua haina hayo maajabu unayoyasifia!
  3. NakazaJR

    MJADALA: Je, Pikipiki gani ni bora kwa matumizi ya nyumbani au biashara kwa Tanzania?

    Kumbe bongo wanazileta pia Sent using Jamii Forums mobile app codifier
  4. NakazaJR

    MJADALA: Je, Pikipiki gani ni bora kwa matumizi ya nyumbani au biashara kwa Tanzania?

    Kusema ukweli sidhani kama utaikuta duka lolote ikiuzwa hii.adimu mno labda uagize nje mwenyewe au ukubaliane na dealers wa honda pale kkoo wakuagizie mkipatana. Niliiona alibaba wanauza 2.5m ila sina uzoefu wakuagizia.
  5. NakazaJR

    Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

    Wakuu nina redmi note 3 yangu nataka niifufue.inakua kama ina mawenge flani hivi kioo chake na touch pia inazingua pemben mwa kioo. Sijui kuagiza online,nani tuelewane aniagizie online touch na betri.nmeona vinauzwa bei za $3-9. Ila nataka vifike haraka zaidi,siwez subiria wiki nyingi ntakosa...
  6. NakazaJR

    MJADALA: Je, Pikipiki gani ni bora kwa matumizi ya nyumbani au biashara kwa Tanzania?

    Ni wazi kua pikipiki imara ni za Mjapan. Sasa basi kwa bajeti yako nakushauri usifanye makosa tafuta pikipiki ya mjapan na unaweza kuongezea pesa kidogo ila usiogope maana unanunua mkataba haswa. Tafuta pikipiki hizi,kwa matumizi yako binafsi na vimizigo vya hapa na pale: 1. Honda CGL 125 2...
  7. NakazaJR

    MJADALA: Je, Pikipiki gani ni bora kwa matumizi ya nyumbani au biashara kwa Tanzania?

    Tafuta pikipiki hizi,kwa matumizi yako binafsi na vimizigo vya hapa na pale: 1.Honda CGL 125 2.Honda CG 125 3.Honda Ace cb 125(ila hizi nadhani ni za south africa kama sikosei) Machaguo ya kwanza ndo mjapan mwenyewe na zote zina starter. Nina Honda CG 125 huu mwaka wa 8 sasa kitu piru bado,nna...
  8. NakazaJR

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Zipo hizo zote kwenye huu uzi
  9. NakazaJR

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Hapana ni JCB(Jesus Come Back)
  10. NakazaJR

    Old Bongo Flava

    Labda uandike ngoma nyingine unazozihitaji nione kama nitakua nazo. Mfano list yako ya juu ngoma ambazo sijaziweka ujue sina
  11. NakazaJR

    Old Bongo Flava

  12. NakazaJR

    Old Bongo Flava

    Majina muhimu mkuu.kuna wengine hizi ngoma pia tunazo,tunaweza kujikuta tunazipakua mara mbili mbili bila mpango. Kuhusu jamaa kujitolea si tatizo mbona kuna nyuzi hata sisi tunatupia ngoma fair kabisa wala si swala lakulipana humu
  13. NakazaJR

    Old Bongo Flava

    Fanya kuziandika na majina ya wasanii pia. Nimeona ngoma kibao hazina majina ya wasanii
  14. NakazaJR

    Epuka makosa haya katika kuchaji simu ili utunze betri lako

    Huu ushauri niliwahi kuambiwa na wanaIT nkaufwata.kilichotokea ni laptop yangu kua pasi ndani ya miezi 8 tu toka upya wake
Back
Top Bottom