Kwa mjibu wa sheria naelewa kuwa mwananafunzi anapofanya kosa shuleni mwenyekiti wa bodi ya shule peke yake hana mamlaka ya kumfukuza shuleni mwanafunzi huyo hadi maamuzi yapitishwe na kikao halali cha bodi ya shule vilevile mwenyekiti wa tume ya uchaguzi peke yake zec hana mamlaka ya kusitisha...
Mimi cjawahi kuona mwenyekiti wa BODI YA SHULE anachukua maamuzi ya kumtimua mwanafunzi shuleni peke yake bila kamati ya bodi ya shule kukaa kikao na kuwa na maamuzi ya pamoja!!
jamaa nakushauri mapema kama ni kujificha uanze kutafuta mapango ya kujificha mapema maanake lazima WAKUDAKE walisema ni kosa la jinai kupga picha kuonyesha nani umempigia pole sana.
Kura yako isizidi nje ya kisanduku cha kupigia kura..usipige kura zaidi ya mgombea mmoja..usiandike maneno mengine zaidi ya kuweka tick au vema tu..usiandike namba yako ya simu..usichore kitu chochote kwenye karatasi ya kupigia kura. Cha mhimu ni wewe weka tick tu kwa mgombea unayemtaka kura...
Mimi sioni tatizo hapo acheni wafunge kampeni zao hiyohiyo tarehe 24 kwani wakifunga tarhe CCM watawasikilza afu keshi yake watanunua airtym Tv zote na kazi yao kubwa itakuwa kujibu hoja za ukawa pia MEDIA COVERAGE TRHE 25 ITAKUWA WAO TU.waongeaji wapo wengi tu Kingunge, Tambwe myika, Lema...
Teh teh teh ngoja waje CCM kitengo maalum cha Propaganda Utaskia hiyo siyo Serengeti ni MAANDAMANO YA MISRI AU LIBYA TEH TEH TEH wakiona hizi picha wanahisi kuharisha.
Ushauri wa huyu jamaaa sio wa kupuuzwa mtu asiyefahamika siyo wa kuamini wala kualikwa kwenye vikao vya ndani kwani kwa sasa inawezekana kabisa mamlyki wengi kutoka upande wa pili wanasambazwa kufanya kazi maalum na tarehe 22,23 na siku ya kuamkia uchaguzi tarehe 24 vjana wengi sana hasa zile...
Mkutano wenyewe unazidiwa na MKUTANO WA WENJE mimi niliona Magari mengi yameandikwa STK kuliko watu nikajiulza jk yupo mwanza jamaa mmoja kaniambia Suluhu gupo mwza teh teh teh fisiemu Kwisha polen sna magamba
Acha upuuzi wewe upo live wapi mda mfupi uliopita numetoka kusoma post yako ukisema Upo na kinana ukerewe SEMA UKWELI UPO MASAKI CHUMBANI NA UKIENDELEA KUPOST UJINGA WAKO NITAKUUMBUA HUMU COZ I KNOW U.
Nilijua tu lazima amsifie mgombea wa ccm kwani wao ndio wamempunguzia adhanu ya kula mihogo ukitaka kujua alivyo wa ajabu huyo huyo mla mihogo ndio alimutimua zitto chadema kwa kumuita msaliti eti leo hii anajikombakomba kwake na kumsifia poor & big shame to u dr....
In Tanzania everything is possible mgeni anaruhusiwa kuja kufungua kampuni yake na kujipangia bei yake atakayo yeye bila kujali kipato halisi cha wananchi na huwezi kusikia mamlaka husika ikimunyooshea kidole..
sikatai jamaa lakini naomba uniambie mwenye mamlaka ya kusimamia makampuni binafsi ya simu yupo? kama yupo ni nani? je kazi kazi yake ya kusimamia huduma kwa wateja amesbundwa? in Tanzania everythng is possible think twice bro,
Kampuni ya simu vodacom kuanzia kesho tarehe 8 itabadili tena gharama ya vifurushi vya internet vya wiki 2000=30 MB 2800=60 MB na kifurushi cha siku 1000 itanakia kuwa Mb 8 kazi kwenu mnaokesha mitandaoni VODACOM WAMEJIPANGA. Chanzo voda taarifa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.