Habari zenu wakuu.
Yeyote anaejua daktari wa magonjwa ya kina mama MBEYA na anapopatikana naomba msaada wa maelekezo. Nisaidieni mwenzenu, mwaka wa 3 kwenye ndoa nahangaika tu.
Sijabahatika kupata mtoto.
Habari wakuu.
Kwa yeyote ambae anajua wapi naweza kupata endocrinologist mzuri, yani daktari aliebobea katika mambo ya glands na hormone, naomba anielekeze.
Asanteni.
Bora umejijua nashukuru kwa hilo. Piece of advice kama unaona someone's story is phony why shouldn't you ignore it. Is it necessary uingize negativity zako kwenye story usiyoielewa. Umepata faida gani? . As for me kwenye story yangu ambayo wewe huielewi nimepata ushauri kwa watu wanaojielewa...
Ngumbaru or layman, whatever you call yourself. This post isn't for you, kwanza hujui hata prolactin ni nini why ucomment? And i don't have to explain myself to you kama nimeenda hospital or not. You clearly don't even know JF Doctor wameiongeza kwenye hii forum kwasababu gani. So weird jinsi...
Kwani ni lazima kila kitu ucomment. Vitu vingine kama hujui ni bora unyamaze, prolactin ni neno gumu KWAKOO. So kwasababu kuna hospital, JF Doctor ifutwe km ndo hivyo maana haina faida. Sometimes watu wanauliza kupata different professional advice. Usidhani kila mtu hajui kama wewe kijana...
Habari wa kuu,
Nimepima kipimo cha homoni. Imejulikana nina tatizo la ongezeko la homoni ya Prolactin, ipo 150ng/dl. Naomba msaada jinsi ya kutatua hili tatzo, aina ya diet inayofaa na dawa nzuri kutibu.
Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wakuu. Kuna yeyote anajua wapi naweza kupata huduma ya clinic ya wachina Dar es salaam. Anaefahamu please naomba aniambie mahali ilipo. Asanteni
Kwahiyo mtt akijua kugombania daladala na kugombania chakula ndo nini. Kwa akili hizi za sisi watanzania Mungu atusaidie [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwanza kabisa kaa ukijua million 5 kwa watu wengine ni km ww unavyoiona 5000. Kuna watu wanapata 20million mpka 50 million per month, unataka ampeleke mwanae kayumba for what? Nd tofauti zenu ni lifestyle, mwenzio hajasoma kwa stress. Ni kama kucompare mbwa wa kizungu wa kylie jenner marekani na...
Madhara yapo tena makubwa bt inategemea na mwili wa mtu, huwa inasababisha overbleeding, amenorrhea (kutopata hedhi) na kubwa zaidi ni hormonal imbalance. Sishauri mtu atumie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.