Tuliwahi kufanya kazi ya kufreka poli msomela wakat wahamishwaji wa ngorongoro kuja msomera wanagawiwa eka mbili mbili tukaelewana na yule jamaa kutoka ngolo tufyeke kwa raki 2 tukatia tim na mdogo wangu kwenye ile laki tumepewa 50k tu akatuambia ondokeni bila ivyo nawasingizia mmeniibia DAH...
Fukara na maskini ni tofauti sana!!
Ni ipi tofauti?
Kwanza fukara hana pesa wala chakula na haelewi atakula nini.., hata kazi hana chakula labda akaombe kwa jirani kwa kifupi fukara ana hali ngumu
Ni yupi maskini?
maskini
Anaweza kua hana pesa ila ana akiba ndani hata chakula mwezi hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.