Tungeweza kufanya comparison za mishahara ya viongozi mbalimbali hasa wastaafu ambao wanalipwa 80% ya kiongozi aliyeko madarakani mf waziri mkuu wastaafu,marais nk ..
Kuna ulazima gani wa wao kulipw kila mwezi na sio kupewa viinua mgongo mara 1baada ya kustaafu ...maana ulipwaji wao...
Tungeweza kufanya comparison za mishahara ya viongozi mbalimbali hasa wastaafu ambao wanalipwa 80% ya kiongozi aliyeko madarakani mf waziri mkuu wastaafu,marais nk ..
Kuna ulazima gani wa wao kulipw kila mwezi na sio kupewa viinua mgongo mara 1baada ya kustaafu ...maana ulipwaji wao...
Maisha ni kitu cha ajabu sana, wale unaowadhania kuwa wema ndo hatari, ona km hii....
1.Daktari anakuombea uumwe.
2. Wakili anakuombea upate kesi.
3. Mtengeneza majeneza anakuombea ufe.
4.Polisi anakuombea uwe mhalifu.
cha ajabu na kushangaza Mwizi peke yake ndo anakuombea ufanikiwe......!!!!
Maisha ni kitu cha ajabu sana, wale unaowadhania kuwa wema ndo hatari, ona km hii....
1.Daktari anakuombea uumwe.
2. Wakili anakuombea upate kesi.
3. Mtengeneza majeneza anakuombea ufe.
4.Polisi anakuombea uwe mhalifu.
cha ajabu na kushangaza Mwizi peke yake ndo anakuombea ufanikiwe......!!!!
Matukio yenye uwazi na yanaisiyohitaji ushahidi km haya yanaachwa tu ila ya hutuhumu na kutumia nguvu hata isiyohitajika mf ile ya kumkamata Lema ndo serikali yetu inaweza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.