Recent content by naiho

  1. N

    Naomba historia ya mwanafasihi,wadau

    C.g.mung'ong'o(c.v) .alipozaliwa,shule
  2. N

    Usaliti na Unafiki unavyoangamiza Taifa - Lema

    Tatizo letu hatutaka kukoselewa,lema ili kujenga chama imara migogoro haikwepek,chamsing kaeni vikao kuelezan ukweli,huwez kukosoa ccm juu ufisad wakat ndan chama ndio jogoo wa ufisad,udin na undugu.na lait lema ungekuwa mwkt chadema kingekufa zaman.kwan wew umwenyimwa hekima.na kutahadharish...
  3. N

    MOMBASA: Muhubiri wa kiisilamu auawa kwa kupigwa risasi

    hata dunia nzima ipange kuangamiza uislam kamwe hawataweza we mjinga wa kufikir
  4. N

    Kikao gani kiliamua Nyerere awe 'Baba wa Taifa'?

    Naomb angalia sifa za haw viongoz wamefanyia mataifa yao makubw lakin hakutukuzwa .hindira gandh wa india.mau wa china.muhamed wa malysia.na mandela
  5. N

    Kikao gani kiliamua Nyerere awe 'Baba wa Taifa'?

    mbona unaongea kibubusa.
  6. N

    Zitto Kabwe: Taifa lina nyufa

    Imetulia hotuba ya mh. zito tunataka watu kama wew.ccm si wanatumia chombo chao BAKWATA kutawala ila yana mwisho.sis waislam ni yatima ktk taifa hili
  7. N

    Mbunge wa Rombo, Josefu Selasini awapasha wabunge juu ya tukio la Arusha

    Ni wale wale tu kwani mwezi uliopita aliongea nini pale mjengon
  8. N

    Kikao gani kiliamua Nyerere awe 'Baba wa Taifa'?

    Mwalimu Nyerere kama Rais wa kwanza wa Tanganyika alikabidhiwa nchi na mkolon mwingereza mwaka 1961 ,nchi ikiwa ya 1 kwa uzalishaj na uzaji wa katan dunian.pia nchi maarufu kwa uzalishaji na uzaji wa kahawa,korosho na raslimal nying sana .Lakini mwaka 1985 kaacha nchi hohehahe,miongon mwa nchi...
  9. N

    Mlipuko Arusha: Watu 8 wakamatwa, wamo raia wanne wa Saudi Arabia

    Mshakaj kuna gaid kama mkapa wauliz waislam wa dar(mwembe chai) na cuf zanzibar au kwas nguruwe mchung
  10. N

    Kigamboni: Mwanafunzi wa IFM auwawa kisa wivu wa mapenzi

    Wake watu na wanaume watu wanaua acha afe ndio hak yake
  11. N

    Mdomo wa LEMA ni hatari kwa CHADEMA na taifa kwa ujumla

    Lema anafanya anachokijua
  12. N

    Zitto hoja yako umeifanyia utafiti wa kutosha?

    Jkt sio suluhisho ya uzalend fikirien tena njia mbadala kwan imefeli hiyo
  13. N

    CCM wamekubali Katibu wao mkuu Kinana akiachwa tembo watateketea

    Badala ya kujaribu kuelezana kwa kueleweshana nyie majung ccm na chadema hakika wamefanikiwa kwa sera ya wagawe watawale na undelee kuiba madin,nyara aridh nk ndio wabog
  14. N

    Ningekuwa Katibu wa Baraza la Mitihani Tanzania ningejiuzulu

    Yupo kwa ajili ya kazi maalum kunyongea watot wa maskini ndio tabia ya watanzania baada ya kupata kwan kenyewa kalitoka ktk familia hohehahe pale kasulu enzi hizo bahat ikamjia kanisa likafanya kazi mwache awajibike kwa
Back
Top Bottom