Juzi huko mbeya kuna mama mswahili yaani muafrika kabisaa kamchinja mwanae na kumpika supu na kumla hii dunia ya si ya kuhukumiana sababu ya rangibaso hili ana lile
Pascal Mayalla,
Umesahau kuwa na mkapa alituuwa kwa bunduki kutumia wanajeshi wake sijui nae ana asili ya kiarabu? Kwanza ulichoandika asilimia kubwa ni uondo mtupu na ndo mana umeweka picha za kuokota okota.
Nilichogundua we jamaa umeandika andika tu ili upate watu wa kubishana nao ila maelekezo ya kukamlika tayari umeshaambiwa ila tu unaleta ubish wa kitoto sana mada haina kichwa wala miguu unataka ulekezwe vipi mbabaa
Itanibidi nihame maana ushaurinwa watu wengi ni kuhama tu , lkn bado kodi haijaisha lkn nitafatisha huu ushairi endapo nikimwambia tena asiponiskiliza
Sent using Jamii Forums mobile app
#aminikwamba mkuu jamaa yupo hana hata habari ya kujiongeza, labda kujiongeza kununa tu ukinunua raba au kitu kingine chochote
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu niliwahi mpa hela ya kodi aonhezee kidogo tu ila mpk leo nikimuuliza hanipi jibu la kueleweka juubya ile hela ya room nilompa , mimi pia nilipitia hii life ila haizidi miezi 6 nilijitathmin kukaa kwa mtu mpk lini nikaanza kujituma
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha mimi nimegundua nilifeli mwanzo kabisa kwanini sikumuuliza , lengo la kuja na mda anaokaa so kuwa makini wahi mapema haya mambo
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha mkuu nadhani ushaionaga hiyo mtu anashika pafyum ya mwenzake utafkiri anapuliza na gesi psssssssssssssssssssssssssss kipafume chenyewe mpk ununue basi umejipanga
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji4][emoji4][emoji4][emoji16] twins kwanza ni majaaliwa halafu mimi wananitosha kabisa asee kwa hali ya maisha ya sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.