Habari wadau,
Kuna account kama tatu hivi nishazitengeneza na kuzifuta ila nilizitumia kwenye baadhi ya websites muhimu kwahiyo kama kuna njia ya kuzipata tena zote naombeni msaada.
Niaje wadau,
Kila nikilala naiota USA japo sijui ntawezaje kuishi kule hata nipambane na life la kule.
Elimu yangu ni ya kawaida sana, sijafika University japo lugha sio shida sana. Kama kuna mtu kaishi kule au ana idea kama yangu anipe ushauri kama inawezekana kuishi kule au vipi ili njue...
Habari,
Mimi ni mkulima wa vanilla nataka kukua sasa kwa kujenga greenhouse yangu kama m² 30/40. Hivyo nataka kujua ghalama za net kwa ambaye anajua anaweza kunielekeza na sehemu ya kuzipata na Kwa kipimo hicho nahtaji net ngapi jumla.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.