20,000 ni kulipia form.
150,000 kulipia passport basi imeisha.
Labda hapo barua ya mtendaji wa serikali ya mtaa .2000🤣
Stationary kama huwezi kutumia simu kuapply online
Wabunge wetu wakishirikianaa hivi kwa kutoa hoja kama leo hii bungeni mpaka mda huu....Tanzania tutafika mbali sana!! Hoja ya mabadiriko ya sheria za nishati na madini,zina mshiko sana...ukiangalia mikataba ilikuwa fake,madeni wanayotadiwa kampuni za migodi n.k
Sio porojo
Ni kwamba jibu la swali lako ninaitaji precise question na brief answer kama Mkuu chakaza alvyotoa jibu in brief but with legal procudere in short.....sasa ukiuliza anakamatwa au akamatwi na police still swali lako lipo juju mkuu,sio wote tunaojuwa sheria.
Kwa kosa gani kuwa precise,kuwa anaweza kukamatwa kwa tuhuma fulani? Maana jaji mkuu ana privilege na immunity......na kukamatwa sio kirahisi ivyoo........toa scenario yako vizuri mkuu
Ila tatizo nikwamba kutokwenda kazini haisaidii lusolve tataizo,naona kingetendeka ni kukazia mamlaka za upelelezi zifanye kazi yako...maana kugoma sio solution hata mara moja! Sasa wakigoma then inakuwaje? Wangefanya mchango wa kusaidia pia kuweka wanasheria wenzao lile eneo likae vizur kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.