Recent content by nagajo

  1. N

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Joseph Mbilinyi (Sugu) kajidhalilisha sana kuungana na Mbowe ili kumkabili Lissu

    Wakati wa uchaguzi wa kanda, Lisu alienda kumpgia kampeni Msingwa ili ashinde, kwa hiyo automatically Sugu hawezi kuwa upande wa Lisu
  2. N

    JamiiForums Tanzania Siitazami ajali ya ndege kama wengi mnavyoitazama, yawezekana kuna makubwa nyuma yake

    Mimi naisi katika kuhesabu majerui, uenda walimuhebu yule kijana aliyekwenda kuokoa maana na yeye alipata dharuba ya kuchapwa na kamba akapelekwa hospitali wakazani alikuwepo kwenye ndege. Kwahiyo bado mmoja. Ila taarifa rasmi ikitoka itaweza kueleza walizidi wametoka wapi
  3. N

    JamiiForums Tanzania Serikali izibane hotel zote za kulala Tanzania zinaibia wateja

    Ukiingia saa 7 usiku, unatakiwa utoke saa ngapi?
  4. N

    JamiiForums Tanzania TCRA chukueni hatua kwa TMA kwa kutudanganya wana Mtwara

    TMA tayari wametimiza wajibu wao wa kutoa tahadhari, watu natakiwa kushukuru kama iki kimbunga hakijafika kwetu
  5. N

    JamiiForums Tanzania Nini kimetokea kwa ndege yetu ya Bombardier kusukumwa?

    Dah, umetoa majibu mazuri sana, sio Kama kila kitu ni kibaya kinacho fanyika hapa nyumbani. Wakati mwingine tuwe uzalendo
  6. N

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Maswali yangu kwa Jaji Mtungi, wa vyama vya siasa

    Nendeni mkamsikilize, uwenda majibu ya maswali yako akawa nayo
  7. N

    JamiiForums Tanzania Julius Mtatiro: Muongo asiye na Kumbukumbu

    Naona halujisahau kama alishawai kupost uko nyuma
  8. N

    JamiiForums Tanzania Maoni Ushauri na Mapendekezo kwa mabasi ya mwendo kasi (DART): Nini changamoto, nini umefurahia?

    Huu mradi bado mpya kwetu bongo, kinachatakiwa ni kuwapa ushauri wa kuwendesha huu mradi ili uwe bora na sio kulalamika. Changamoto nizilizokutana nazo katika huu mradi ni; 1. Kuongozana mabasi kama matano ya root moja, ningeshauri wangekuwa wanayapishanisha angalau dakika 3-5 kwa root moja. 2...
  9. N

    JamiiForums Tanzania HESLB yatoa majina ya waombaji yasiyo na BIRTH CERTIFICATE, hamkuona haya mapungufu tangu mwanzo?

    Names of eligible applicants whose applications miss birth certicates sn indexno name remarks 1 e0015.3341.2012 mkandala,shadrack john no birth cert 2 p0143.0020.1999 msigwa,tumain e no birth cert 3 p0305.0073.2011 nyalaja,paskazia sokanya no birth cert 4 p0337.0055.2005 john,elizabeth no birth...
  10. N

    JamiiForums Tanzania Yaliyojiri Uwanja wa Uhuru: Kuapishwa kwa Dr. Pombe Magufuli kuwa Rais wa Tanzania

    shughuri ya kuapishwa inaanza saw ngapi?
  11. N

    JamiiForums Tanzania Mwenye majina ya mkopo UDSM!

    Wakuu kama kuna mtu amefanikiwa kuyapata majina ya waliopata mkopo UDSM, tafadhari tuweeke hapa, maana kwenye website ya board inasumbua kufunguka
  12. N

    JamiiForums Tanzania sua loan allocation first year 2015/2016

    UDSM bado hawajatoa majina waliopata mkopo?
  13. N

    JamiiForums Tanzania HESLB mnasubiri uchaguzi upite ndio mtoe majina ya waliopata mkopo 2015/2016?

    Binafsi nilitegemea impaka leo majina ya walio pata mkopo 2015/2016 yangekuwa yameshatoka, ili kwa wale waliokosa wazazi/walezi wao wapate muda wa kutafuta ADA na maitaji mengine ya kishule. Vyuo vingi vinafunguliwa tarehe 02/11/2015, sasa kama mpaka Leo majina Hayajatoka uyu mzazi/mlezi...
  14. N

    JamiiForums Tanzania Saed Kubenea ndani ya kipindi cha mada moto live on Channel Ten saa nne usiku

    mtatujuza, wengine huku hatuna umeme
Back
Top Bottom