Serikali izibane hotel zote za kulala Tanzania zinaibia wateja

  1. Vyumba havitozwi kwa masaa 24. Ingekuwa hivi basi wangekuwa wanatoza kwa masaa. Wanafanya hivi ili kurahisisha hesabu zao maana basi mtu akichukua chumba saa 12 jioni halafu akaondoka saa 12 asubuhi basi angetakiwa kulipa nusu ya pango. Wao wana bei moja ambayo inaanzia muda wao wa kuingia ( kati ya earliest check in na latest check out), ukiingia muda wowote katikati utalipa bei nzima. Ni kama vile ukipanda daladala ya kwenda posta Mwenge hautapunguziwa nauli kwa vile unashuka Morocco. Au kwa vile wamekuambia bei ya chumba ni pamoja na kifungua kinywa basi mpishi awepo wa kukupikia wakati wowote utakapotoka au wakupunguzie bei kufidia mlo kifungua kinywa ambapo haukula.
  2. Wanafanya hivi ili wawe na muda maalum wa kusafisha vyumba vyote. Wahudumu wanajua kati ya muda fulani na muda fulani ni muda wao kusafisha vyumba, kubadilisha mashuka na mataulo na kuweka sabuni, shampoo na toilet paper mpya. Ikiwa kila mtu atatoka kulingana na muda anaoingia basi wahudumu itabidi wawe kazini kwa masaa 24 ili vyumba visafishwe mara mtu anapotoka. Hii ni ngumu kufanyika.
  3. Nchi nyingine, breakfast sio sehemu ya gharama ya chumba. Ukitaka kula asubuhi basi unalipa zaidi. Hapa kwetu kuna sehemu hawatoi sabuni ya kuogea, ukitaka kuoga kwa sabuni inabidi uje nayo.
  4. Nchi nyingine bei ya chumba inategemea siku ya wiki, msimu n.k. Usitegemee bei uliyolipia jumatatu ndio itakuwa hiyo hiyo ijumaa.
  5. Kwa kifupi upangaji wa bei na masharti ya upangaji wa chumba ni ya mwenye hoteli. Kama hauridhiki, una haki kutafuta sehemu nyingine ambayo itaendana na mahitaji yako au hata unaweza kulala stendi ambako hakuna check out time.
Amandla..........
Nani kakudanganya nauli ya kwenda posta unalipa 400 hata Kama hufiki posta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daaah
Kweli upumbavu ni mzigo sana.
Kwahiyo ukizaliwa March tubadili mwaka uanze March
Wiki ianze J5
Acheni ujinga wenu. Kimsingi kufika hiyo saa 4 asubuhi ni feva tu. Siku inaisha saa 6 usiku
Ukiingiia hotelini ukasema nalala kwa siku moja Tar 15.12.2019 unapaswa uishi hotelini hapo kwa siku hiyo tuu. Sasa ukiingia saa 4 usiku inapaswa saa 6:01 ulipe upya lakini wanakupa feva mpaka kesho saa 4 asubuhi halafu unaleta matapishi hapa.
Pumbavu sana
Kama leo tar 14/12 nikiingia hotelini ..nitajaza Arrived 14/12 na nitatoka 15/ 12 ila kama nitaingia saa nane usiku tarehe nitakayojaza ni 15/12 na nitatoka 16/12 kwahiyo huyo muhudumu atakaye kuja kunigongea saa nne asubuhi ya tarehe 15/12 napaswa kumuonja kibao kabla hajamuita manager wao kuniomba msaamaha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uwezo wako wa Kuchanganua mambo ni mdogo sana
Daaah
Kweli upumbavu ni mzigo sana.
Kwahiyo ukizaliwa March tubadili mwaka uanze March
Wiki ianze J5
Acheni ujinga wenu. Kimsingi kufika hiyo saa 4 asubuhi ni feva tu. Siku inaisha saa 6 usiku
Ukiingiia hotelini ukasema nalala kwa siku moja Tar 15.12.2019 unapaswa uishi hotelini hapo kwa siku hiyo tuu. Sasa ukiingia saa 4 usiku inapaswa saa 6:01 ulipe upya lakini wanakupa feva mpaka kesho saa 4 asubuhi halafu unaleta matapishi hapa.
Pumbavu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kawaida mtu ukiingia hotel muda unaoingia ndio kesho yake unatakiwa uwe muda wako wa kutoka sababu unalipia kwa siku yaani masaa 24

Mahotel ya Tanzania yamejiwekea utaratibu wa wizi kuwa muda wa kutoka lazima uwe saa nne asubuhi bila kujali umeingia saa ngapi.

Nilikuwa Nigeria niliingia saa nne usiku hotelini wakaniambia muda wangu wa kutoka ni kesho usiku muda kama huo huo nilioingia.Wanahesabu MASAA 24 kamili bila kupunja

Tanzania hata uingie saa nane usiku hotelini wanataka saa nne asubuhi uachie chumba wakati umelipia siku nzima wao wanakulaza masaa machache tu na kukwambia toka kama vile wewe ni changudoa uliyeenda kupanga chumba short time

Wanasheria bebeni hili kesi buruzeni wamiliki mahoteli mahakamani wakome wizi
Acha upopoma dunia nzima mda wa kuachia chumba hautakiwi zidi saa 6 mchana so saa 4 asubuh au saa 2 ni sawa na hiyo ni standard ya dunia labsa ufikie hostel au airbnb hapo taratibu tofauti check quora hapo.....unadhan serena, double tree, wapo tayari haribu reputation wakati asilimia 80 ya wageni wanatoka nje.....https://www.quora.com/Why-do-hotels-have-a-check-in-check-out-time
 
Man, hiyo sio Tanzania tu! Tena kwa baadhi ya nchi kuna hadi check-in time! Chukulia Singapore kwa mfano (labda iwe wamebadilisha), huwezi kwenda asubuhi halafu ukapata chumba, unless uwe ume-book a day in advance au kipindi biashara ni mbovu! Sasa wakati check-in kwa kawaida ni mchana, check-out inakuwa kabla ya mchana! Hata kwa Dubai inakuwa hivyo hivyo, ingawaje unaweza kukuta few exceptions. Ki ukweli inauma, lakini inaelekea ndio mfumo wenyewe! Especially kwa maeneo ambayo yanakuwa na wageni wengi kama ilivyo kwa Dubai, Singapore au Bangkok, nadhani lengo ni kuwapa muda wa kutosha kuandaa chumba kwa mgeni anayefuata, na ndio maana hawafanyi early check-in vile vile; kwa sababu huo ni muda wa kuandaa chumba kwa mgeni ajae! Mara nyingi check-out haizidi saa 6.
 
Kawaida mtu ukiingia hotel muda unaoingia ndio kesho yake unatakiwa uwe muda wako wa kutoka sababu unalipia kwa siku yaani masaa 24

Mahotel ya Tanzania yamejiwekea utaratibu wa wizi kuwa muda wa kutoka lazima uwe saa nne asubuhi bila kujali umeingia saa ngapi.

Nilikuwa Nigeria niliingia saa nne usiku hotelini wakaniambia muda wangu wa kutoka ni kesho usiku muda kama huo huo nilioingia.Wanahesabu MASAA 24 kamili bila kupunja

Tanzania hata uingie saa nane usiku hotelini wanataka saa nne asubuhi uachie chumba wakati umelipia siku nzima wao wanakulaza masaa machache tu na kukwambia toka kama vile wewe ni changudoa uliyeenda kupanga chumba short time

Wanasheria bebeni hili kesi buruzeni wamiliki mahoteli mahakamani wakome wizi
Kwani umelazimishwa kulala huko? Kalale kwa ndugu zako au stand au airport ! Wacha hizo bana ! Hiyo ni business!
 
Pole Sana ulipolewa wakakufira ndio umeamua kuwaletea bifu? ....jamaa wako vizuri sana! Tuliza **** yako ya nyuma
Kawaida mtu ukiingia hotel muda unaoingia ndio kesho yake unatakiwa uwe muda wako wa kutoka sababu unalipia kwa siku yaani masaa 24

Mahotel ya Tanzania yamejiwekea utaratibu wa wizi kuwa muda wa kutoka lazima uwe saa nne asubuhi bila kujali umeingia saa ngapi.

Nilikuwa Nigeria niliingia saa nne usiku hotelini wakaniambia muda wangu wa kutoka ni kesho usiku muda kama huo huo nilioingia.Wanahesabu MASAA 24 kamili bila kupunja

Tanzania hata uingie saa nane usiku hotelini wanataka saa nne asubuhi uachie chumba wakati umelipia siku nzima wao wanakulaza masaa machache tu na kukwambia toka kama vile wewe ni changudoa uliyeenda kupanga chumba short time

Wanasheria bebeni hili kesi buruzeni wamiliki mahoteli mahakamani wakome wizi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daaah
Kweli upumbavu ni mzigo sana.
Kwahiyo ukizaliwa March tubadili mwaka uanze March
Wiki ianze J5
Acheni ujinga wenu. Kimsingi kufika hiyo saa 4 asubuhi ni feva tu. Siku inaisha saa 6 usiku
Ukiingiia hotelini ukasema nalala kwa siku moja Tar 15.12.2019 unapaswa uishi hotelini hapo kwa siku hiyo tuu. Sasa ukiingia saa 4 usiku inapaswa saa 6:01 ulipe upya lakini wanakupa feva mpaka kesho saa 4 asubuhi halafu unaleta matapishi hapa.
Pumbavu sana
Pumba ya karne hii. Hivi wewe umekanyaga hata darasa moja kweli? Umeandika ugoro mtupu hata haueleweki.
 
I confirm to my self you are the most primitive individual ever ! You dont even know business practices! What you are trying to propagate won't be put to effect ever !
"Kwani umelazimishwa kulala huko? Kalale kwa ndugu zako au stand au airport ! Wacha hizo bana ! Hiyo ni business!"
Rudia kusoma ulicho comment hapo juu, ndio ujue jinsi ulivyo mjima wa karne.
 
"Kwani umelazimishwa kulala huko? Kalale kwa ndugu zako au stand au airport ! Wacha hizo bana ! Hiyo ni business!"
Rudia kusoma ulicho comment hapo juu, ndio ujue jinsi ulivyo mjima wa karne.
Sihitaji kurudia maana najua nilicho kiandika !
 
Nyumba ya kulala wageni ni tofauti na nyumba ya kupanga wageni.
Kwahiyo tunachokilipia ni usiku wa kulala tuu ambao wanaamini mpaka saa nne utakua umeshaamka.
Ndio maana hata ukichukua chumba saa 12 asubuhi utakirudisha kesho yake saa nne asubuhi.

Ila mleta uzi umeleta hoja nzuri na niyakufanyiwa kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daaah
Kweli upumbavu ni mzigo sana.
Kwahiyo ukizaliwa March tubadili mwaka uanze March
Wiki ianze J5
Acheni ujinga wenu. Kimsingi kufika hiyo saa 4 asubuhi ni feva tu. Siku inaisha saa 6 usiku
Ukiingiia hotelini ukasema nalala kwa siku moja Tar 15.12.2019 unapaswa uishi hotelini hapo kwa siku hiyo tuu. Sasa ukiingia saa 4 usiku inapaswa saa 6:01 ulipe upya lakini wanakupa feva mpaka kesho saa 4 asubuhi halafu unaleta matapishi hapa.
Pumbavu sana
Ukiingia saa 7 usiku, unatakiwa utoke saa ngapi?
 
Back
Top Bottom