Ulichokiandika ni porojo,hakuna serikali duniani ambayo haifuatilii na kuweka utaratibu katika sekta binafsi.
Sio vizuri kuihushanisha ikulu na maswala yako uchwara ambayo hayana kichwa wala miguu
Chama cha democrasia na maendeleo wilaya ya Tarime kimeingia katika mgogoro na mwenyekiti wao wa taifa mh Freeman Mbowe.Mgogoro huo umesababishwa na Mbowe kuwapangia wana chadema kumchagua mwenyekiti ambae ni Hawara wa mbowe.
Na walipokataa kufanya hivyo mbowe ametishia kufuta madiwani wote wa...
Hawana hoja ya ufisadi mpaka sasa kwa sababu mpaka sasa ndio wanafuga mafisadi wabobezi.
Hivyo kusema kuanza kuibua scandal za ufisadi kwa wakati huu hawana nafasi,kwa sababu serikali ya Hapakazi tu ni mwendo wa kazi na hakuna mianya ya rushwa
Huyu mzee angekupumzika tuu kwa kifupi mpaka sasa hana effect yeyote katika jamii.
lowassa amechoka na hana nafadi nyingine tena,kwa kifupi kama anaenda kupiga propaganda ni kazi bure
Lowassa,hivi kwa akili ya mtu alie enda darasani akafunzwa na kufunzika anawezaje kuamini kuwa Lowassa anaweza kuwa sehemu ya mabadiliko?
Naamini CCM walimjua Lowassa kuliko yyote na kubadilishia gia angani kulikuwa ni kukurupuka.
Mabadiliko ya kweli yanaletwa na Ccm na watanzania wote kwa...
Naamini Kubenea yupo mikono salama ya jeshi la polisi.
Naamini sheria itafuata mkondo wake na kwa namna yeyote ile kama alikosea au aliwekwa ndani kimakosa sheria itasimamia haki na kweli.
Naamini tunaweza kuwa tupo kwa ajili ya kunyoosha vidole bila kutathimini katika pande zote mbili.
Tusiwe...
Majibu yako umeandika ww as ww ila kwa bbc.com ukiingia ushahidi wa nilichokisema kipo
Usitumie uelewa wako kumjibia lowassa na kumbuka tunavrejea video pia
Alishindwa nn kujibu sawia wakati majibu ya maswali yale yalikuwa wazi ,na hakuna ambacho aliulizwa kutoka mbinguni?na kwann hakuishauri serikali na chama chake au ndiyo ubinafsi.
����������
1. Ameshindwa kujibu ni namna gani atafanya elimu bure.
2. Swala la ufisadi amesema ni swala gumu sana linahitaji mjadala wake lenyewe
3. Mh miezi michache ulikuwa CCM na uliziamini sera za ccm kama sio kukatwa...
Jana wa mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe,alituahidi kufanyika mkutano wa mgombea wa chadema Edward Lowasa.
Wananchi wameamka asubuhi na kukutanika katika mitaa na viunga mbali mbali vya mji wa tunduma ila hakuna mkutano ulio fanyika au hata kiongozi mkubwa wa chafema kuja kuwaambiwa...
Mbowe alikosea kututukana wana tunduruma ,pia ukawa walitukosea kwa kutuona ha5una akili kwa kutuambia vifaa ni vibovu wakati mic hizo hizo na spika hizo hizo ndizo alizokuwa anatumia mbowe kuongea na wananchi,hii maanake n nn?anatufanya wanatanzania na wanatunduma hatujui na anatufanya watoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.