Khabari za saa hizi wanajamvi!
Kwanza shukran zangu za dhati kwa huduma na Ushauri tunazopata humu ndani kwa Kweli ni zenye faida chungu nzima kwa jamiii
Naomba Msaada plz niko na siku 3 kufikia leo naumwa na m*p*mbu ajabu na yamefura Kiasi kama kipira cha tenis nikitembea nahisi kuwa mazito...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.