Kuna askari kaniambia hiyo ni geresha tuu, hakuna atakayechukuliwa hatua hapo. Na kweli ndiyo maana hawa askari wamezoea tabia hizi maana hata baba yako huwa anawakingia kifua😀 akinitukana Mimi vile nae lazima haoge matusi makubwa makubwa siogopagi na sijawahi kumuogopa askari anibambikie...
Bakwata yetu siye ipo chini ya chama tawala! Waislamu tunajua, mpaka Dodoma walipewa ukumbi na sisiemu kufanyia mkutano! Shekhe mkuu kila mkutano unaofanyika Ikulu hakosekani! Kuna nini hapo tena? Hata kwenye vikao vya sisiem hauwakosi! Sijui wamekuwa wanasiasa siku hizi? So lazima mashekhe...
Kwani waliloliandika sio neno la Mungu??? Neno La mungu likoje? Mungu anaruhusu kuuwa watu? Watu wanatekwa, wanauwawa, wanabambikiwa case na kunyanyaswa katika nchi soo wakae kimya! Kama mlimnunua Pendo na yule wetu Wa waislam, hao hawanunuliki
Lazima utete maana unapataga mgao kama ule Wa ESCROW! Upo kimaslahi kiti ulichokalia umekalia kimakosa. Watu wanapigwa, wanauwawa kila siku, wanapotea wanatekwa na kuachiwa wengine! Wewe unajali Tumbo lako!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.