Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,064
- 22,756
MATAGA bwana! Walificha kifo, kilio kikawaumbua halafu bado tu hawashtuki!Unafikiri jiwe alikiwa hafahamu ni mpigaji?
MATAGA bwana! Walificha kifo, kilio kikawaumbua halafu bado tu hawashtuki!Unafikiri jiwe alikiwa hafahamu ni mpigaji?
Kivipi?Nchi inaenda kuangukia kwenye udini tatizo muda tu
Wakalimani tupo tunawaangalia
Mbona wanao?Huyo jamaa inaonekana alikuwa mpigaji, kajificha kwenye kichaka cha kuaminiwa na Magufuli. TAKUKURU endeleni kuusaka uhalifu wote na mtandao huo uliokuwa TPA
Kuna watu si watanzania humu.Hawa ndio watanzania halisi na maoni yao
Hivi idara nyeti kama hizi huwa zinakosa watu wa usalama wa taifa ili kufuatilia nyendo za wapiga dili kama hawa?Huyo jamaa inaonekana alikuwa mpigaji, kajificha kwenye kichaka cha kuaminiwa na Magufuli. TAKUKURU endeleni kuusaka uhalifu wote na mtandao huo uliokuwa TPA
Unaishi dunia gani we digba sowey? Unasemaje kuhusu jeshi la wasiojulikana kuweza kutamba likiteka, kutesa na kuua, je Usalama wa Taifa walikuwa wapi...usingizini? Amka ndugu yangu...dili kama hizo ni state sponsored!Hivi idara nyeti kama hizi huwa zinakosa watu Wa usalama Wa taifa ili kufuatilia nyendo za wapiga dili kama hawa?
Ngoja tuone mwisho wake itakuwajeUji ukianza kunywa huwa ni wa moto lkn kadiri unavyokunywa hupoa
Hivi idara nyeti kama hizi huwa zinakosa watu wa usalama wa taifa ili kufuatilia nyendo za wapiga dili kama hawa?
Swali zuri sana ili, na mama anapaswa akumbuke akiendeleza maigizo na watoto hawana madarasa, wataendelea kukaa chini, kwa kua pesa ndio hizo zinaliwa na wajanja.Kazi inaendelea au ni maigizo yale yale tu.
Sio wazo zuri.tunataka pesa kidogo iachiwe kwa kutoa ajira mpya.Tunaomba ukaguzi wa Miradi yote ya Chato
hela ipooo hii nchi ni tajiriiiii,tumeliwa sana watanzania nasema uwongo ndugu zanguHizi ndio hela zilikuwa zinatumika kununua watu.
TISS wapo vizuri saana(hasa kuanzia mwaka 1961 mpaka 2016) na wanafanya kazi yao vizuri saana ila kinachowawia ugumu na kuonekana hawafanyi kazi ni katiba imewabanaHivi idara nyeti kama hizi huwa zinakosa watu wa usalama wa taifa ili kufuatilia nyendo za wapiga dili kama hawa?
... bora wapotezee tu maana Jua laweza kugeuza direction; likaanzia West to East! Miradi ile itakuwa na madudu ya hatari!Tunaomba ukaguzi wa Miradi yote ya Chato