kubomoa nyumba sitabomoa, wala sitashindana naye, nataka nikaongee naye anipe muda, ili nimalize chuo, maana nasoma kwa sasa nipo mwaka wa pili, nikimaliza nijenge hata vyumba viwili kwingine, nimuachie zile nyumba ale kodi yeye.kwa kuwa Mungu anajua lile ni jasho langu haliwezi potea.
m