huku kwetu, kuna Don mmoja alifariki,....kwenda bank, familia zake zote (wake watatu na watoto),..wakakuta kuna jumla ya million 7 tu kwenye accounts zake zote,....na hawajui mambo ya biashara zake wala miamala,... familia zimeshapoteana vibaya sana mpaka sasa
kuna papayi moja lilifikishwa mahakamani kwa kosa la kuruhusu watu kumwingilia kinyume na maumbile, wakati wa kujitetea , likaropika,...SAMAHANI HAKIMU, MIMI SIKUJUA KUWA MKND NI MALI YA SERIKALI NA SIO MIMI,....😭😭😭 kama sio polisi angezikwa,...
divide and rule theory inatekelezwa na viongozi wa SERIKALI wenyewe.... TANZANIA ina matahira machache sana yenye fikra za udini na ukabila,.... tatizo ni viongozi wa SERIKALI wenyewe wanatafuta makundi ya kuwapigia makofi hata kwenye madudu wanayoyafanya,....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.