Kupima ukimwi na kunyanduana siku hiyo hiyo ni hatari pia. Condom ndio sahihi.
Kwa elimu kidogo niliyopata kupitia kugoogle kila siku kwa miezi sita baada ya kuhofia nimeambukizwa hiv nimegundua hivyo.
Ukimwi kwa vipimo vyetu tulivyo zoea inachukua miezi kadhaa hasa mitatu toka mtu anapopata...
Watu wanaandika vitu wasivyokua na uhakika navyo. Kuna taarifa za ukweli na za uongo hapa mtu anayehitaji taarifa hapa ajitahidi kuzichuja sana.
Hamna ukimwi wa zamani na waleo ni sawa na kusema kuna malaria ya zamani na malaria ya leo. Kilichobadilika ni dawa za kufubaza ukimwi kua za sahivi...
Siku za karibuni nilienda kununua hicho kipimo pharmacy nikapewa hayo maji badala ya buffer solution na nilipohoji kuhusu hilo, muuzaji aliniambia niondoe shaka hayo maji ni sawa na buffer solution.
Je, ni Kweli au alitaka hela yangu tu?
CRDB kuna tatizo kuhusu mikopo na hawaeleweki wanachojibu pale wanapoulizwa kuhusu hili suala la kusuasua. Imekua benki ya ujanjaunja hawatoi majibu ya uhakika.
Watu wengine wanadhani huenda imefilisika haina uwezo wa kuhudumia wateja wao kwa pamoja. Kama ndivyo kwanini wanapokea maombi?
CRDB...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.