Matukio ya kupatwa kwa Jua na Mwezi ni ya tangu zamani na ni matukio ya kisayansi. Pia haiwezekani Jua na Mwezi kupatwa kwa wakati mmoja. Hivyo ishara ya kurejea kwa Yesu duniani ni Jua, Mwezi, Nyota zote kutiwa giza kwa wakati mmoja. Na lengo ninkuhakikisha kuwa Yesu Kristo ambaye ni Jua la...
Billa Yesu ndugu yangu wewe ni wa kuzimu tu. Babu zetu wote hadi Ulaya walikuwa wakiabudu mizimu ambayo hutoka kuzimu. Hivyo, wakifa wanaenda kuzimu kujiunga na mizimu.
Inawezekana ulimi umeteleza. Hata hivyo hahitaji kutoa maelezo yoote na kujaribu kuomba kura kwa watu wasiomtaka. Ni bora hata angejiongezea muda kwa kisingizio cha katiba mpya. Aandike Katiba miaka 03 aondoke kwa heshima. Lakini watu wasiokutaka utawaongozaje?
Wengi hawaelewi bado kuwa huwezi kushindana na Israel ukashinda. Na kuanzia sasa Israel ndiyo itatawala vyombo vya habari duniani maana tupo siku za mwisho. Kumbuka tu kuwa Biblia imetabiri kuwa siku za mwisho Israel itarejea jwenye ardhi yake na hakuna mtu ataweza kuwaondoa tena. Hata dunia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.