Habari Wanazengo Kama unapojisajili uliweka umezaliwa oversea badala ya mainland Tanzania inakuwaje hapo? Maana hata verification number ya rita hawakuleta tunafanyaje ili kuedit
Kwa upande wa form 4 wanauliza number of seats ila form six sijaon hicho wanauliza tu kama ni diploma au form six then index number au ni sehemu gani kipo
Wakuu poleni na majukumu, hivi kama ulifanya mitihani ya advance mara mbili mara ya kwanza ulipata D moja na mara ya lili ukapata D ya pili chuo ume combine matokeo sasa upande wa kuapply mikopo hatuioni sehemu ya kujaza index number za form six kwa waliokaa zaidi ya mara moja inakuwaje hapo au...
Wakuu kutokana na kichwa cha habari hapo juu mm ni kijana wa miaka 25 napang kwenda chuo mwaka huu napenda sana kuwa mwandishi wa habari lakini naona wadau wananiambia eti hii kozi mkopo ni changmoto na mm tegemeo langu ni mkopo naombeni ushauri jamani mana nachoka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.