Recent content by Nabihu

  1. N

    JamiiForums Tanzania KERO Zahanati ya Kijiji cha Mbuchi haifai hata kidogo kutumika ila hatuna jinsi

    Barabara ya kufika katika kijiji ni mbovu mbovu haijawahi kuwekwa kifusi hata cha mchanga tu
  2. N

    JamiiForums Tanzania Barua ya wazi kutoka kwa Suleiman Said Bungara (Bwege) kwenda kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Samia Suluhu Hassan

    Barua ya wazi Kutoka Kwa Suleiman Said Bungara ( Bwege) Aliyekuwa Mbunge wa Kilwa Kusini kwenda kwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Mh Samia Suluhu Hassan
  3. N

    JamiiForums Tanzania ACT Wazalendo statement on exacerbation of the Israel-Palestine conflict

    Safi ACT WAZALENDO . Press haina makando kando km Ile ya makamba.
  4. N

    JamiiForums Tanzania Katuni ya Masoud Kipanya inamaanisha nini?

    Anamaanisha nini hapa Katuni ya Jana na leo.
  5. N

    JamiiForums Tanzania Katuni ya Masoud Kipanya inamaanisha nini?

    Ndugu hii katuni inamaanisha nn?
  6. N

    JamiiForums Tanzania CHADEMA ni TLP iliyochangamka

    Natafakari tu; Viongozi wa ACT Wazalendo wangekimbia nchi baada ya uchaguzi! Viongozi wa ACT Wazalendo wangerudishwa nchini kwa Msaada wa Ikulu (kufuta Kesi). Viongozi wa ACT Wazalendo wangelipwa mishahara yao na marupurupu (Tundu lissu). Zitto angeachiwa huru na siku hiyo hiyo kuonekana Ikulu...
  7. N

    JamiiForums Tanzania ACT Wazalendo ni chama makini japo ni ulimi wa pili wa CCM

    Mnamaliza lini vikao na CCM huko ikulu?
  8. N

    JamiiForums Tanzania Kweka: Jaji Biswalo Mganga ajiuzulu ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake

    Na Kwako ww , Unasumbuliwa zaidi na huyo mwenye chama kuliko Watu wa aina ya Jaji Biswalo. Yaan huyo mwenye chama kasababisha Unga, mchele, Nauli na mafuta vipande kwahiyo anakukwaza sana.
  9. N

    JamiiForums Tanzania CCM Temeke ndani ya Kashfa nzito

    Duuu Mish dada mmoja matata sana
  10. N

    JamiiForums Tanzania ACT–Wazalendo walivyoichambua Ripoti ya CAG

    Vijana wa Chadema mnashida sana Huyu Mbowe alipoona moto mkali alikimbia Nchi, Dubai na South Africa kutafuta Fursa za Biashara na kuacha Siasa, ameona kumepoa amekuja tena kuwekeza Kwenye Chama.
  11. N

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe aliyoitoa jana Aprili 11, 2021

    Kibwagizo cha Hotuba Ya Mbowe "NEVER AND NEVER AGAIN" ame Copy kutoka Katika Hotuba ya ZITTO aliyoitoa Tarehe 26/3/2021( Hii HAIPASWI KURUDIA TENA TANZANIA) Kwa Heri John Magufuli, Buriani Tingatinga Zitto Kabwe Imenichukua karibu wiki nzima kuandika, japo kidogo, kukuaga Rais Magufuli...
  12. N

    JamiiForums Tanzania Zitto jifunze kufanya timing, usingechapa ripoti wakati Mbowe ana press

    Hotuba ya Mbowe yote inamambo Matatu. ✓Kuomba Huruma yake Binafsi na chama chake . ✓ Malalamiko ✓ kuelezea Hofu waliyonayo kwa Mh Samia. ✓ na Zaidi Amecopy mambo kadhaa kutoka kwa Hotuba za Zitto ikiwemo Kibwagizo chake.
  13. N

    JamiiForums Tanzania Naibu Katibu Mkuu Cuf Zanzibar Avunja Ngome Ya ACT Wilayani Magharibi 'A' Zanzibar

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]CUF inavunja ngome ya ACT WAZALENDO ZNZ ? kwa Maana hiyo ile CUF tuliokuwa tunaijua haipo tena [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Faki yule kilaza ndio amekuwa Naibu Katibu Mkuu Znz? Haya Sent using Jamii Forums mobile app
  14. N

    JamiiForums Tanzania Tamko la Viongozi wa vyama vya Siasa Zanzibar kuhusiana na mambo yanayoendelea Nchini

    Naiona NCCR katika Orodha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sent using Jamii Forums mobile app
  15. N

    JamiiForums Tanzania Hii safu ya viongozi wa ACT-Wazalendo inafikirisha sana!

    Kigango Maana huyo Bashiru yupo km Tai inaweza kuondolewa isiharibu show Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom