CHADEMA ni TLP iliyochangamka

CHADEMA ni TLP iliyochangamka

Nabihu

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2012
Posts
295
Reaction score
110
Natafakari tu;
  1. Viongozi wa ACT Wazalendo wangekimbia nchi baada ya uchaguzi!
  2. Viongozi wa ACT Wazalendo wangerudishwa nchini kwa Msaada wa Ikulu (kufuta Kesi).
  3. Viongozi wa ACT Wazalendo wangelipwa mishahara yao na marupurupu (Tundu lissu).
  4. Zitto angeachiwa huru na siku hiyo hiyo kuonekana Ikulu.
  5. ACT Wazalendo wangepokea Ruzuku ambayo waliisusa kwa kisingizio Uchaguzi wa Mwaka 2020 siyo Huru na Haki.
  6. Ngome ya Wanawake (ACT wazalendo) Wangeandaa kongamano na Mgeni Rasmi Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi na Raisi wa Jamhuri ya Muungano SamiaSuluhu.
Bila shaka yoyote CHADEMA wangeitisha Press kushuhudia kuwa ACT Wazalendo ni mfuko mdogo wa Ikulu.
 
Sukuma gang wanaumia sana kuona mbinu za Samia zikifanya kazi 🤪🤪

Hakuna jasiri mbele ya mama
 
Sukuma gang wanaumia sana kuona mbinu za Samia zikifanya kazi [emoji2957][emoji2957]

Hakuna jasiri mbele ya mama
Mama amegundua tatizo ni NJAA, ukitibia njaa unamaliza kelele zote za the so called wapinzani...[emoji1787]

Mwendazake alikuwa mchoyo wa kugawa keki...alitaka kula peke yake na wateule wake!
 
Natafakar tu;
  1. Viongozi wa ACT Wazalendo wangekimbia nchi baada ya uchaguzi!
  2. Viongozi wa ACT Wazalendo wangerudishwa nchini kwa Msaada wa Ikulu (kufuta Kesi).
  3. Viongozi wa ACT Wazalendo wangelipwa mishahara yao na marupurupu (Tundu lissu)...
Hivi kitabu cha kusadikika ntalipata wapi wadau
 
Natafakar tu;

  1. Viongozi wa ACT Wazalendo wangekimbia nchi baada ya uchaguzi!
  2. Viongozi wa ACT Wazalendo wangerudishwa nchini kwa Msaada wa Ikulu (kufuta Kesi)...

Acha nadharia, ongea mambo halisi. ACT wenyewe ndio wamekurupuka kushambulia CHADEMA kwenye kesi ya Mbowe, kwenye maridhiano na sasa ruzuku.
 
Acha nadharia, ongea mambo halisi. ACT wenyewe ndio wamekurupuka kushambulia CHADEMA kwenye kesi ya Mbowe, kwenye maridhiano na sasa ruzuku.
Zitto ana wivu wa majini ambao ni wivu wa kike na wa kilofa lofa saana tu, baelezee
 
Natafakar tu;

  1. Viongozi wa ACT Wazalendo wangekimbia nchi baada ya uchaguzi!
  2. Viongozi wa ACT Wazalendo wangerudishwa nchini kwa Msaada wa Ikulu (kufuta Kesi)...
kama hujui kuhusu yafuatayo juu ya ACT ,

1. ACT ni cuf iliyochangamka muda wowote wanarudi walikotoka.

2. Zito ni mpinzani fake ambaye hata wapemba wamemshtukia kilichobaki ni muda tu wamteme.

3. Zito hawez kushtakiwa kwa makosa ya ugaid kama mbowe na hana uwezo wa kuitwa ikulu maana hana ushawishi wowote mbali na uchimia tumbo.

4. Zito hawez kuleta pressure yoyote ya kisiasa maana ni mpinzani wa mchongo na Act yake haitapata mbunge tofaut na kigoma.

5. ACT ni chama cha zito kilichoanzishwa kwa nia ya kuiuwa chadema lakin imekuwa kinyume chake.

NB, chadema kwa sasa ilishavuka level ya kufanyiwa cheap propaganda inahitajika akili kubwa ili kuivuruga, otherwise wote mtatoweka kama yule mnywa damu za watu aliyezikwa chato.
 
Mama amegundua tatizo ni NJAA, ukitibia njaa unamaliza kelele zote za the so called wapinzani...[emoji1787]

Mwendazake alikuwa mchoyo wa kugawa keki...alitaka kula peke yake na wateule wake!
mwendazake alikuwa mchoyo ambaye mlimuita shujaa leo mnamuita mchoyo kweli ccm iko nusu kaputi.
 
Back
Top Bottom