Acha upuuz wewe,,,, no body knows Mungu ni nan, na ndo maana ukiachana na mmb ya dini, kwenye kiswahil tu kuna nomino za dhahania ambao moja wpo n Mungu,,, unaunadhania lkn humjui wala hafananishw na kitu chchte, hakuzaa wala hakuzaliwa, kama yesu ni mungu bas n Mungu wko ww na waumin wenzio...