Recent content by Mzurulaji

  1. Mzurulaji

    JamiiForums Tanzania NAFANYA KAZI YA PRINTING KAMA NIMEZALIWA NAYO.

    Unanipa order ikikamilika nakutumia kwenye gari boss.!
  2. Mzurulaji

    JamiiForums Tanzania NAFANYA KAZI YA PRINTING KAMA NIMEZALIWA NAYO.

    Habari! karibu sana nafanya huduma ya printing kwa ubora wa hali ya juu kama nimezaliwa nayo. Tunaprint vikombe, chupa, t-shirt aina zote zikiwemo jersey. uniform za wanafunzi. mifuko ya kufungia bidhaa kwaajili ya kutangaza biashara zako. karibu sana sana tukuhudumie. Tunapatikana...
  3. Mzurulaji

    JamiiForums Tanzania Fikra zangu kuhusu biashara ya printing

    Nina wazo la kufungua kampuni ambayo itakuwa inajihusisha na printing, Kwa sasa nafanya huduma ya printing napatikana dar es salaam.kwa kwa kuprint vikombe, chupa t-shirt mifuko ya kufungua bidhaa n. k natamani nipate sapoti yenu nyinyi ili muniwezeshe kijana wenu kufanikiwa kufungua kampuni...
  4. Mzurulaji

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Niitieni watu wa imani wanishauri hapa

    Ahsante sana Mshana nilisubiri comment yako kwa hamu na nimeelewa vyema kabisa.
  5. Mzurulaji

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Niitieni watu wa imani wanishauri hapa

    Aisee
  6. Mzurulaji

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Niitieni watu wa imani wanishauri hapa

    Kweli mkuu
  7. Mzurulaji

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Niitieni watu wa imani wanishauri hapa

    Sawa
  8. Mzurulaji

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Niitieni watu wa imani wanishauri hapa

    Habari zenu me nikijana mwenzeni nina umri wa miaka 25 nimetaja miaka ili mtu anaponishauri haitompa ugumu katika kutoa ushauri. Nina hali ambayo inanisumbua kwa upande wangu ni jambo kubwa na nahitaji ushauri. Binafsi ninaye mpenzi wangu tayari ambaye kwasasa ni mchumba wangu sababu pande...
  9. Mzurulaji

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada: Nina hali la kutamani kila Mwanamke

    Nina tatizo kubwa binafsi kwangu naona kama ni tatizo kubwa kwa sababu sikuwaga hivi. Kwasasa nina hali ya kutamani kila mwanamke, huenda mwingine akasema hiyo ndio sifa ya mwanaume kamili lakini naweza sema katika sifa hiyo uwaga inamipaka yake, si kila mwanamke na si kika wakati. Mwingine...
  10. Mzurulaji

    JamiiForums Tanzania Nauza pikipiki Yamaha 300k

    mkuu nimekudm
  11. Mzurulaji

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Hiyo ya 10mbs speed ikoje.?
  12. Mzurulaji

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimekata tamaa ya maisha

    Pole sana Kila gumu linajema lake nyakati ngumu kwa mwanadamu zipo ila yote yatakwisha na Kila kitu kitakuwa sawa.
  13. Mzurulaji

    JamiiForums Tanzania IPTV Direct Channel Links

    Kama unataka kulipia Iptv, forever stream tv, Mediastar kupata access za channel za DStv nicheki Pm.
  14. Mzurulaji

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mwanamke wa kuishi naye

    Makazi Dar Es Salaam Miaka 26 Jinsia Me. Dini Muislamu Awe Dini: Muislam Miaka 20-23 Makazi Dar Es Salaam Kama atapatikana anicheki whatsapp 0743366810 kama anataka tufahamiane zaidi. Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
  15. Mzurulaji

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni moment gani? ambayo mpenzi wako alikufanyia na umeshindwa kuisahau

    Soma vizuri mkuu sikujua sababu gani anafanya vile kwani mara kadhaa nishamuomba mzigo anachomoa.
Back
Top Bottom