Recent content by Mzurulaji

  1. Mzurulaji

    Niitieni watu wa imani wanishauri hapa

    Ahsante sana Mshana nilisubiri comment yako kwa hamu na nimeelewa vyema kabisa.
  2. Mzurulaji

    Niitieni watu wa imani wanishauri hapa

    Habari zenu me nikijana mwenzeni nina umri wa miaka 25 nimetaja miaka ili mtu anaponishauri haitompa ugumu katika kutoa ushauri. Nina hali ambayo inanisumbua kwa upande wangu ni jambo kubwa na nahitaji ushauri. Binafsi ninaye mpenzi wangu tayari ambaye kwasasa ni mchumba wangu sababu pande...
  3. Mzurulaji

    Msaada: Nina hali la kutamani kila Mwanamke

    Nina tatizo kubwa binafsi kwangu naona kama ni tatizo kubwa kwa sababu sikuwaga hivi. Kwasasa nina hali ya kutamani kila mwanamke, huenda mwingine akasema hiyo ndio sifa ya mwanaume kamili lakini naweza sema katika sifa hiyo uwaga inamipaka yake, si kila mwanamke na si kika wakati. Mwingine...
  4. Mzurulaji

    Nauza pikipiki Yamaha 300k

    mkuu nimekudm
  5. Mzurulaji

    Nimekata tamaa ya maisha

    Pole sana Kila gumu linajema lake nyakati ngumu kwa mwanadamu zipo ila yote yatakwisha na Kila kitu kitakuwa sawa.
  6. Mzurulaji

    IPTV Direct Channel Links

    Kama unataka kulipia Iptv, forever stream tv, Mediastar kupata access za channel za DStv nicheki Pm.
  7. Mzurulaji

    Natafuta mwanamke wa kuishi naye

    Makazi Dar Es Salaam Miaka 26 Jinsia Me. Dini Muislamu Awe Dini: Muislam Miaka 20-23 Makazi Dar Es Salaam Kama atapatikana anicheki whatsapp 0743366810 kama anataka tufahamiane zaidi. Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
  8. Mzurulaji

    Ni moment gani? ambayo mpenzi wako alikufanyia na umeshindwa kuisahau

    Soma vizuri mkuu sikujua sababu gani anafanya vile kwani mara kadhaa nishamuomba mzigo anachomoa.
  9. Mzurulaji

    Ni moment gani? ambayo mpenzi wako alikufanyia na umeshindwa kuisahau

    Baada ya penzi zito na mpenzi wangu, tena penzi ashteashte nakumbuka kuna day alianza niandaa kisaikologia kuwa nisitoke home, anashida ya muhimu nami, nilipojaribu kumsisitiza kuwa nachokifatiria ni cha umuhimu sana. Naye akadai huenda kumsubiria yeye akawa muhimu zaidi. Nilijaribu kutafakaria...
  10. Mzurulaji

    PES & FIFA PC Games thread (Uzi kwa wapenda game za mpira kwenye PC)

    ushaambiwa kitu kipo ofisini bado unasema hela ya soda daah
Back
Top Bottom