nauliza kwa ambao washawahi kwenda mafia mnapita wapi kwenda kwa boti? kwa kutokea dar mnapandia wapi boti na nauli zikoje? na usalama? nataka niende kutafuta opportunity za biashara huko
group interview ya access bank huwa wanatoa debate topic then mnaambiwa mgawane opposers na proposers then mnapewa dakika tano za kujiandaa afu debate inaanza , ikiisha hy ya debate wanaanza kukuuliza mmoja mmoja maswali ya kawaida ya interview unayoyajua tofauti ni kwamba tuu pale mnaaulizwa...
8341 - Embassy of P.R. China in Tanzania ila ukitumia agency # ya embassy ya china in tz inamaana hizo application zako utapeleka hapo na ukienda huko ubaalozini utaambiwa wizara ya elimu ndo inayoshughulikia hizi scholarship kwa tz
so me nnachokushauri apply juu kwa juu yan kwa chuo hucka ili...
inamaana ww ht kugoogle ulishindwa? maana me baada ya kuona hii post yako simply nikagoogle PwC Tanzania nikapata web yao nimeifungua na hiyo post ipo na sehem ya online application inaonekana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.