GB, FM na izo WhatsApp nyingine tofauti na official WhatsApp na WhatsApp business ni illegal coz sio apps za kampuni ya meta. So ukizitumia sometimes wanakufungia ili utumie WhatsApp ambayo ukiifungua inaonyesha nembo(logo) ya meta. So futa izo JB, FM na izo application nyingine za WhatsApp...
Nimesoma huu Uzi mbele ya watu wazee adi wameshtuka Sana. #Tunaangamia. Alaf unakuta wew n mama wa watu unamuhudumia mumeo vizur tu, sema ndo kuchangamshana tu huku JF
Mkuu nimekuelewa sema Nini. Embu siku nyingine ukirudi mletee vizawad vidogo vidogo uone Kama kesho yake hatakukimbilia na kukupokea kwa Bashasha. Alaf pia game inabd umuandae kwanza kabla ata hujafika om ili nayeye ajiandae kisaikolojia, kimwili na kimazingira pia. Kifupi: Wengi tunasahau kua...
Mzungu_bahili Nilisoma uzi wa Mzungu pori uku nikapata idea ya ID mpya, Ila nikakuta Kuna mtu anajiita Mzungu Pori so nikaamua nijiite ivyo coz mm ni mbahili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.