Recent content by Mzoma

  1. Mzoma

    Kabla ya kuja watu weupe waafrika tuliamini uwepo wa Mungu ila hatukuamini uwepo wa shetani

    Mungu (nguvu kuu) kila jamii ilikuwa na namna yake yakumfikia mungu (nguvu kuu) katika dunia nzima, kwetu afrika tulikuwa na njia zetu za kumfikia mungu na kutusaidia Mizimu ni watu wema au mababu zetu waliokufa lakini katika uhai wao walikuwa watu wema walikuwa machifu,waaguzi,walinzi wa...
  2. Mzoma

    Maandiko haya mbona kama yana ukakasi na mashaka makubwa?

    Jibu ni kwamba hizo ni hadithi na simulizi ni zao wamoibu sio zetu mzee tufatilie zeru
  3. Mzoma

    Mungu hayupo? Atheist njooni mthibitishe

    Hivi unaweza kusibitisha kitu kisichowepo ??! M nahisi kama tuwepo jangwani halafu usibitishe kwmba hmna msitu
  4. Mzoma

    Ulimwengu; Ni Kila kitu kilichopo, kilichowahi kuwepo, Na kitakachowahi kuwepo

    Umemjibu sahihi kabisaa na kudadavua vyema
  5. Mzoma

    Putin ni tishio kwa ustawi na usalama,Israel inapaswa kumshugulikia haraka sana

    Kuna watu vichwa vyao vina maji waniona Israel kama nn sijuii
  6. Mzoma

    Kama mpaka sasa hawajaiteka "Kyiv", basi ni wazi Jeshi la Russia halina nguvu kama inavyodaiwa

    Vita yao ww inakuhusu nn sasa?? Ww mtu wa Ukraine?? Au mtu wa urusi?? Unashindwa sikitika na vita vya kongo afrika ya kati na sudani unaleta shobo kwa Ukraine na urusi
  7. Mzoma

    Kama mpaka sasa hawajaiteka "Kyiv", basi ni wazi Jeshi la Russia halina nguvu kama inavyodaiwa

    .ndomana m naonaa waacha wauwae hao mana vita za kongo sudani nk hawaombei hata siku moja afu leo eti mtu anaiombea Ukraine sheeenzi
  8. Mzoma

    Nataka kwenda vitani kujitolea kuisadia Ukraine 🇺🇦, je nifuate utaratibu gani?

    .hivi kuna nchi yenye vikwazo kama Korea kaskazini?? Mbona hajasanda na anaendelea kutest nyuklia
  9. Mzoma

    Mbinguni kutakuwa sehemu ya aina gani? Watu watakuwa wanafanya nini?

    Watoto wasikuhizi wangesema "mbinguni kuna vibe hataarii" [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  10. Mzoma

    Uhalisia wa taifa la Israeli

    .m navofahamu ile alama pembetatu ya chini inamaanisha jua na pembetatu ya chini inamaanisha mwezi Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
  11. Mzoma

    Uhalisia wa taifa la Israeli

    Ile alama ya bendera inamaanishaa nini mkuu ?? Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
  12. Mzoma

    The Mystery of the Engineering work of the Pyramids at Giza

    .naziombaa hizo documents kaka nijionee
  13. Mzoma

    The Mystery of the Engineering work of the Pyramids at Giza

    Ielezee wewe ya chuo Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
  14. Mzoma

    The Mystery of the Engineering work of the Pyramids at Giza

    .nipe ushahidi wa kihistoria mkuu Maana misri kwenyewe hakuna ushahidi huo kwamba waliwafanya watumwa wayahudi Ila ni kwamba enzi za utawala wa khemet/ misri eneo lote la israeri mpka jordani ilikuwaa ni sehemu ya misri Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom