Recent content by Mzolewa

  1. Mzolewa

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Hivi mnaotuma namba mmefanikiwa kupata umeme?
  2. Mzolewa

    Natafuta pasi nzuri ya kunyooshea nguo

    Nimetumia Philips ila iliyeyuka control switch, nikanunua Hitachi ikaungua nikanunua aina flani ya pasi ya kutumia maji ikazingua Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Mzolewa

    Natafuta pasi nzuri ya kunyooshea nguo

    Kiongozi mimi niko Morogoro, anyway hiyo Philips now bei gani Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Mzolewa

    Natafuta pasi nzuri ya kunyooshea nguo

    Duh ok,ila kwani nilipaswa kuandikaje kiongozi Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Mzolewa

    Natafuta pasi nzuri ya kunyooshea nguo

    Ni muda sasa natumia pasi aina tofauti lakini hazidumu, zimekuwa zinaharibika au kuungua sana. Mwenye kujua aina nzuri ya pasi na ikiwezekana na bei yake anisaidie. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Mzolewa

    Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

    Nahitaji pasi ya nguo Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Mzolewa

    Nyalandu anagawa kadi za CHADEMA misibani Singida

    Mbona mtoa thread hajaweka ushahidi wa msiba! Sent from my SM-A500F using JamiiForums mobile app
  8. Mzolewa

    Niliyemdhamini ametoroka baada ya kutolewa mahabusu

    Wengine wanasema kujiondoa udhamini hadi mtuhumiwa apatikane
  9. Mzolewa

    NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    NMB Klik mimi sielewi baada ya kufanya update haifunguki baada ya kuweka password, shida iko wapi?
  10. Mzolewa

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Ikitoka remote ya mita imeharibika kupata nyingine utaratibu wake uko vipi?
  11. Mzolewa

    Niliyemdhamini ametoroka baada ya kutolewa mahabusu

    Nami nimejifunza japo kwa kuumia
  12. Mzolewa

    Niliyemdhamini ametoroka baada ya kutolewa mahabusu

    Yaani kiongozi kazi kweli kweli
  13. Mzolewa

    Niliyemdhamini ametoroka baada ya kutolewa mahabusu

    Inaendaje hapo kiongozi chini ya adhabu mkuu
Back
Top Bottom