Recent content by mzl

  1. M

    Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    Wazee toeni somo vizuri bas kuhusu hii chia seeds na wengi tunaweza kuwa interested na kufanya hii biashara
  2. M

    Nafasi za kazi TANAPA: Vijana wenye sifa jaribuni bahati

    No hakuna uhuni kila kitu kiko clear kabisa
  3. M

    Biashara za Online Zimejaa Matapeli

    mie nimepitia article kadhaa kuhusu hawa aim global in motion,inaonekana kwamba sio scam.....but tatizo ni kwamba zile ahadi wanazopewa wenzetu kwamba ukijoin kwa 500,000 unaanza kutengeneza 69,000 daily ni uongo mtupu.....na hii kampuni ina spread mostly in developing nations ili...
  4. M

    Biashara za Online Zimejaa Matapeli

    Kuna hawa wanajiita aim global in motion,wenyewe wako vipi wakuu
  5. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    hiyo pHD uliichukulia wapi
  6. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Utashangaa Leo ac Milan anakosesha watu hela na odd yake ya 1.07
  7. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Acha kutakana watu wewe, kazi ya shetani tumeua au
  8. M

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Mechi yetu na Napoli it will be a war,iwe kwa kumwaga damu,iwe kwa njia halali,au kwa goli la mkono Liverpool lazima tuingie hatua inayofuata kwenye champions league,hao Napoli level yao ni europa
  9. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    oooh sikuwa na hizo updates rafiki yangu,so ngoma droo hiyo
  10. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    yes yawezekana ila spurs wako onfire sana saiv
  11. M

    TANAPA wametuma taarifa za usahili, angalieni email zenu

    Asante kaka nilitaka kujua tu hilo
  12. M

    TANAPA wametuma taarifa za usahili, angalieni email zenu

    Na hizi kazi zs juzi juzi vipi ambazo deadline of application ilikuwa 26/11/2018?
  13. M

    Nafasi za kazi TANAPA: Vijana wenye sifa jaribuni bahati

    tusikilizie by mwezi wa kumi na mbili mambo yatakuwa moto I think
  14. M

    Nafasi za kazi TANAPA: Vijana wenye sifa jaribuni bahati

    Jaman deadline ilikuwa juzi tu alafu unataka Leo wawe wametoa majibu
Back
Top Bottom