Katika Historia kila mtu anayo nafasi ya kukumbukwa kawa mema au m,abaya alioyafanya. Kwangu mimi hakua kiongozi Bora kwa watanzania wenye kujielewa na ambao walikua wanataka kusonga mbele kutoka pale tulipo kuwepo kabla ya yeye.
Nchi haindeshwi kwa vitisho bali utawala wa Sheria.
Tufanyeni kazi zetu kwa lengo la kuikomboa nchi yetu katika vita ya Umasikini, Maradhi na Rushwa. Utawala bora ni wa uwajibikaji kwa wananchi. Tumbuke kua kuna vizazi vinavyokuja, tuwaachie nchi yenye neema kama walivyo fanya wenzetu wa nchi zilizo endelea na zinazo endelea.
Lets be professionals.
Mimi nadhani suala hili ni mtambuka. Unaweza kua na tango pori lakini bado pia ukapigwa hela. Kuna sababu nyingi. Kubwa zaidi ni jinsi utakavyo anza kumtongoza. Ukiingia na gea ya Maprosoo umekwisha. You have to live your promise.
Dada Demis Mada yako ni nzuri sana. Siwezi kukataa moja kwa moja utetezi wako. Ila katika hali ya kawaida baadhi ya vitu vinavyosababisha harufu sehemu za siri hasa za wanawake ni vifuatavyo.
1. Fungus katika sehemu za siri za Wanaume.
2. Matumizi ya kondomu kwa wingi
3. Kufanya Mapenzi na...
Hivi kabla ya Mahakama kuthibitisha kua ni Manslaughter na sio Murder sheria gani ilimruhusu kua nje muda wote?. Je sheria hiyo haitumiki kwa wafungwa wengine wa mauwaji kabla ya hukumu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.