swali nzuri ila naweza kukusaidia kujibu kwa uchache
kwanza ISRAEL inakuwa na list tayari ya watu wanaokuwa wanahitajika kuuwawa hii inakuwa rahisi katika kuwafatilia nyendo zao
wanapataje taarifa
taarifa za ndani kabisa wanazipata kwa MOLE( mole ni wasaliti au mapandikizi waliyopandikiza...
sema mwamba nakukubari sana kwa uwezo wako wa kujenga HOJA zenye mashiko na ufafanuzi wa kina
kuna muda naona kabisa MAPRO US na ISRAEL wanataka mabishano ili uwape nondo
nakumbuka kama uzi wa RUSSIA vs UKARAINE kuna mwamba mmoja alikuwa PRO US kindakindaki alikuwa anajiita HIMARS alikuwa...
Sawa RAIA anajitambua
wewe ulitaka IRAN ifanyaje labda baada ya shambulizi la kuua VIONGOZI wake haswa Ayatollah
na marekani kuizunguka kila pembe kwa siraha za hatari ulitaka isalimamri
kwa utamaduni wa waajemi na waarabu kwa ujumla kusalenda kwa MAREKANI ni dharau iliyopitiliza
na katika...
wanazi wa marekani na wanazi waIRAN wote habari ya kupanda kwa bei ya mafuta adhabu tutaipata wote wapenzi wa TAIFA TEULE haya mjiandae mapro IRAN tunafunga mikanda soon bei ya mafuta juu
ninavyozikubari PETRO STATION( SHELI) za tanzania ghafra sana "stoki" itaisha wataanza kuagiza kwa bei juu
Una uelewa gani kuhusiana na DECODE DIARY
ushawahi kuziona PICHA za BILLY CLINTON akila bata na MONICA
Ushawahi kuziona picha BILLY CLINTON akiwa katika PRIVATE JET na MICHAEL JACKSON na wachumba KIBAO wakila bata kipindi akiwa RAISI
DUNIA haiendi unavyotaka wewe DUNIA inaenda wanavyotaka wao...
ni slang ya mtaan miaka 90s kukiwa na sherehe za harusi maulidi au hitima ambapo hupikwa PILAU
ndo utakuta masela wa kitaani wanavaa baraghashia na kanzu ili wakae upande wa mashekhe wasomaji wapate kuupiga ubwabwa na nyama nyingi
tena wengine walikuwa wanabeba ndizi na pilipili kabisa lakini...
hakina kitu kama hicho
na uzuri wa LUKU za kisasa zinaonesha mpk kiwango cha LOAD kinachotumika kwa wakati husika
fungua luku yako angalia kiwango cha LOAD kwh kinavyotumika ukianza kuzima kitu kimoja kimoja unaona kabisa LOAD kinapungua ni swala la mahesabu tu
kinachofanya kipindi hiki umeme...
usichojua ni kwamba
TRUMP kasaini DEAL na KAGAME deal kubwa la 40% kwa 60%
anachofanya TRUMP ni kutuchezea akili anadhami watu ni watoto wadogo
kile walichokubaliana na KAGAME anakifahamu
yake makaratasi waliotunesha makubaliano ya kumaliza vita ni ujinga
KAGAME si mpuuzi hvyo aingie...
kapiga kwenye mshono
siamimi kam kaandika haya bila uwoga
mana kaongea ukweli mtupu ujweli halisia
au ndo ile ukitoka nje ya CCM ubongo unakuwa "resete to default"
mana ukiwa ndani CCM ukilamba teuzi au kuwa chawa unakuwa katika "Custom Settings" so unakuwa vava voom unaenda wanavyokuset...
Ningeshangaa kupost hvyo kwenyweaccount yake
ila ni status tu
mana hata hao CCM anaowapambania wasingekubari kupost uchochezo hvyo
mana sasa hivi kidogo tunaheshimiana tangu ile tarehe 29
swali hili nilikuwa najiuliza Unasikia DIRISHANI risasi zinapigwa NJE ukicheck ni saa 6 usiku unajiuliza nani anaandamana saa 6 usiku
nikawa nawaza mbna kma ASKARIndio wanaleta TAHARUKI zaidi
ooh leo ndio nimejua zile RISASI watu ndio walikuwa wanauliwa huko NJE dah !!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.