Recent content by Mzimu wa Kolelo

  1. Mzimu wa Kolelo

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    swali nzuri ila naweza kukusaidia kujibu kwa uchache kwanza ISRAEL inakuwa na list tayari ya watu wanaokuwa wanahitajika kuuwawa hii inakuwa rahisi katika kuwafatilia nyendo zao wanapataje taarifa taarifa za ndani kabisa wanazipata kwa MOLE( mole ni wasaliti au mapandikizi waliyopandikiza...
  2. Mzimu wa Kolelo

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    sema mwamba nakukubari sana kwa uwezo wako wa kujenga HOJA zenye mashiko na ufafanuzi wa kina kuna muda naona kabisa MAPRO US na ISRAEL wanataka mabishano ili uwape nondo nakumbuka kama uzi wa RUSSIA vs UKARAINE kuna mwamba mmoja alikuwa PRO US kindakindaki alikuwa anajiita HIMARS alikuwa...
  3. Mzimu wa Kolelo

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Sawa RAIA anajitambua wewe ulitaka IRAN ifanyaje labda baada ya shambulizi la kuua VIONGOZI wake haswa Ayatollah na marekani kuizunguka kila pembe kwa siraha za hatari ulitaka isalimamri kwa utamaduni wa waajemi na waarabu kwa ujumla kusalenda kwa MAREKANI ni dharau iliyopitiliza na katika...
  4. Mzimu wa Kolelo

    Yanayojili mgogoro wa Iran, Marekani na Israel

    Ripota wa kizayuni tulikumiss ngoja uone ISRAEL inageuka magofu kaa kwa kutulia
  5. Mzimu wa Kolelo

    TAARIFA MPYA: Kampuni kadhaa kubwa za mafuta zimesitisha usafirishaji wa mafuta kupitia Strait of Hormuz.

    wanazi wa marekani na wanazi waIRAN wote habari ya kupanda kwa bei ya mafuta adhabu tutaipata wote wapenzi wa TAIFA TEULE haya mjiandae mapro IRAN tunafunga mikanda soon bei ya mafuta juu ninavyozikubari PETRO STATION( SHELI) za tanzania ghafra sana "stoki" itaisha wataanza kuagiza kwa bei juu
  6. Mzimu wa Kolelo

    MAREKANI: Rwanda inahatarisha Usalama wa eneo la Afrika Mashariki

    Una uelewa gani kuhusiana na DECODE DIARY ushawahi kuziona PICHA za BILLY CLINTON akila bata na MONICA Ushawahi kuziona picha BILLY CLINTON akiwa katika PRIVATE JET na MICHAEL JACKSON na wachumba KIBAO wakila bata kipindi akiwa RAISI DUNIA haiendi unavyotaka wewe DUNIA inaenda wanavyotaka wao...
  7. Mzimu wa Kolelo

    'Sheikh ubwabwa' ni mtu wa aina gani?

    ni slang ya mtaan miaka 90s kukiwa na sherehe za harusi maulidi au hitima ambapo hupikwa PILAU ndo utakuta masela wa kitaani wanavaa baraghashia na kanzu ili wakae upande wa mashekhe wasomaji wapate kuupiga ubwabwa na nyama nyingi tena wengine walikuwa wanabeba ndizi na pilipili kabisa lakini...
  8. Mzimu wa Kolelo

    KERO Teknolojia mpya ya LUKU (ya TANESCO) inakula sana umeme kuliko kawaida

    hakina kitu kama hicho na uzuri wa LUKU za kisasa zinaonesha mpk kiwango cha LOAD kinachotumika kwa wakati husika fungua luku yako angalia kiwango cha LOAD kwh kinavyotumika ukianza kuzima kitu kimoja kimoja unaona kabisa LOAD kinapungua ni swala la mahesabu tu kinachofanya kipindi hiki umeme...
  9. Mzimu wa Kolelo

    MAREKANI: Rwanda inahatarisha Usalama wa eneo la Afrika Mashariki

    usichojua ni kwamba TRUMP kasaini DEAL na KAGAME deal kubwa la 40% kwa 60% anachofanya TRUMP ni kutuchezea akili anadhami watu ni watoto wadogo kile walichokubaliana na KAGAME anakifahamu yake makaratasi waliotunesha makubaliano ya kumaliza vita ni ujinga KAGAME si mpuuzi hvyo aingie...
  10. Mzimu wa Kolelo

    Mama Tibaijuka: Teoria ya vita vya kiuchumi” si chochote zaidi ya blanketi la propaganda lililotupwa kufunika janga la kisiasa la ndani

    kapiga kwenye mshono siamimi kam kaandika haya bila uwoga mana kaongea ukweli mtupu ujweli halisia au ndo ile ukitoka nje ya CCM ubongo unakuwa "resete to default" mana ukiwa ndani CCM ukilamba teuzi au kuwa chawa unakuwa katika "Custom Settings" so unakuwa vava voom unaenda wanavyokuset...
  11. Mzimu wa Kolelo

    PostGE2025 Wema Sepetu awakejeli Gen Z: Tena mnikome panzi pori nyie. Nasikia mji upo kimyaaa

    Ningeshangaa kupost hvyo kwenyweaccount yake ila ni status tu mana hata hao CCM anaowapambania wasingekubari kupost uchochezo hvyo mana sasa hivi kidogo tunaheshimiana tangu ile tarehe 29
  12. Mzimu wa Kolelo

    Huyuu mjamaa

    hapo sawa
  13. Mzimu wa Kolelo

    Huyuu mjamaa

    si kweli lbda unatumia SECURE VPN ni ya kijinga hiyoo VPN
  14. Mzimu wa Kolelo

    Ushahidi wa watu 11 Walioongoza Mauaji ya 29 Oktoba 2025 Nchini Tanzania Umepatikana. Waliua watu ELFU 10

    fungua na browser(google chrome phonex safari a opera na zinginezo utapata OPTION ya kudownload)
  15. Mzimu wa Kolelo

    GE2025 Ni kweli maiti zimebebwa na canter. Pia nyingine zimepelekwa Twiga

    swali hili nilikuwa najiuliza Unasikia DIRISHANI risasi zinapigwa NJE ukicheck ni saa 6 usiku unajiuliza nani anaandamana saa 6 usiku nikawa nawaza mbna kma ASKARIndio wanaleta TAHARUKI zaidi ooh leo ndio nimejua zile RISASI watu ndio walikuwa wanauliwa huko NJE dah !!!
Back
Top Bottom