Yap ukitaka kufanikiwa kama wachaga
1 take RISK na usiache fulsa.
2 Kuwa na nidhamu ya pesa.
3 Control your PENY(DICK) and STOMACH.
4.Achana na kukimbizana na wasichana stick na mwanamke mmoja Sahihi.
Habari za kusoma Mavitabu sijui RICH DAD POOL DAD katika mambo ya BIASHARA kwa wewe mtoto wa...
Aina udhaifu wowote ni very SUCURED kama SOCIAL MEDIA zingine7bu wanawekeza mabilioni ya pesa kwa ajiri ya hilo
ni tamaa za tu watumiaji wenye uelewa hafifu
Ukiona ACCOUNT ya Facebook ya kapuku (imehackiwa) kama unavyodai basi ACTUALLY haijaakiwa isipokuwa ni
TAMAA ya kutaka kuangalia picha za...
Habari yako ndugu Lavit tunakutaarifu sisi tupo tumejichimbia maabara tunaifanyia utafiti hiyo dawa yako
Na sample tumesambaza maabara. Zetu zote duniani wanaifanyia kazi
Mwisho nenda ukasome BBC au seach GOOGLE wadudu au wanyama wanaokaa muda mrefu bila kula wala kunywa katika hiyo list...
Ni kweli analosena barabara alizojemga mchina za mitaa kakata sana miti na akuacha hata sehemu ya kupanda miti
Tofauti na barabara zilizojengwa na Mjapani KONOIKE
Mfano mnzuri angalia kawawa road ilikuwa ina miti mingi pembezoni mwa barabara ambayo iliacha space
Ukija barabara za mtaani mchina...
Sawa umeeleweka una facts nyingi za kisayansi amabazo umeeleweka safi kabisa
je kwann ikifuatwa prosija za kimila mgonjwa hufa eidha ndani ya masaa 6 12 24 48 zimezidi sana 72 ours una lipi la kutuelezea kisayansi
Na je pia vipi Unaweza kutuelezea wazazi wetu wa KIAFRICA akiumwa sana AFI mpka...
Nafikiri tumekubaliana BABA WA MIDDLE EAST no IRAN ujumbe umefika
Tunasubiri Majibu ya ISRAEL tuone moto utawakaje
ISRAEL akijibu direct kutoka kwake kwenda IRAN basi hii itadhiirisha ISRAEL ni mwanaume
Hapo sasa ngoma itakuwa mbichi
Tutegemee F 15 zikimwaga cheche TEHRAN
wakati huo sasa zike...
Kunakuwa na plan 1 plan 2 plan 3 na nakuendelea
Moja ya malengo ni kuonesha kuwa yeye mwanaume na anaweza
Kuonesha anazo silaha ambazo anaweza kufanya chochote wakati wowote nchi yoyote
Sasa hapo Vidrone 100 tu vimeisimamisha DUNIA kwa muda tu
Huoni kiwa malengo yametimia
Au wewe ulitaka apige...
Hapo sasa ndio huwa nawaambia WASUNN wa TANZAGIZA
ONYL IRAN na AFGHANISTAN hizo ndizo DOLA ISLAMIC pekee zinazosimamia misingi ya ISLAMIC na Zinazopipigania UISLAM na MASLAHI yake
lakini wajomba hawawezi kukuelewa sasa WAHABI WASUFI nk
Kama ni habari za kweli Sijui wataficha wapi Sura zao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.