Recent content by Mzimu wa Kolelo

  1. Mzimu wa Kolelo

    Wachaga nini siri ya mafanikio yenu?

    Yap ukitaka kufanikiwa kama wachaga 1 take RISK na usiache fulsa. 2 Kuwa na nidhamu ya pesa. 3 Control your PENY(DICK) and STOMACH. 4.Achana na kukimbizana na wasichana stick na mwanamke mmoja Sahihi. Habari za kusoma Mavitabu sijui RICH DAD POOL DAD katika mambo ya BIASHARA kwa wewe mtoto wa...
  2. Mzimu wa Kolelo

    Kwanini utajiri wa Elon Musk anashuka sana?

    Utajiri wao ni wa namba Share zikiteteleka au kupanda Basi mmoja anashuka faster na mwingine anapanda faster Hvyo tunaweza sema kuna mkuu anaamua
  3. Mzimu wa Kolelo

    FT: Yanga 2 - 1 Simba | Ligi Kuu ya NBC | Uwanja wa Benjamini Mkapa | 20/04/2024

    Mwambie kwanza UBUNTU - BONTHO anapelekewa moto huko balaa na waarabu
  4. Mzimu wa Kolelo

    FT: Yanga 2 - 1 Simba | Ligi Kuu ya NBC | Uwanja wa Benjamini Mkapa | 20/04/2024

    Kihasibu muambie simba akipoteza mechi ijayona DODOMA JIJI au akisuruhu YANGA itakuwa imebakisha mechi 5 tu itangaze ubingwa
  5. Mzimu wa Kolelo

    Kumekuwepo na promotion inayoitwa UNICEF FOUNDATION hawa siyo wezi mtandao kweli?

    Aina udhaifu wowote ni very SUCURED kama SOCIAL MEDIA zingine7bu wanawekeza mabilioni ya pesa kwa ajiri ya hilo ni tamaa za tu watumiaji wenye uelewa hafifu Ukiona ACCOUNT ya Facebook ya kapuku (imehackiwa) kama unavyodai basi ACTUALLY haijaakiwa isipokuwa ni TAMAA ya kutaka kuangalia picha za...
  6. Mzimu wa Kolelo

    Filamu Zilizotabiri ‘Future of Humanity’ kwa Usahihi

    Kuna movie ya 1977 ilioneshs
  7. Mzimu wa Kolelo

    Mara ya kwanza kuwaona kunguni kitandani kwangu akili iligoma kukubali!

    Habari yako ndugu Lavit tunakutaarifu sisi tupo tumejichimbia maabara tunaifanyia utafiti hiyo dawa yako Na sample tumesambaza maabara. Zetu zote duniani wanaifanyia kazi Mwisho nenda ukasome BBC au seach GOOGLE wadudu au wanyama wanaokaa muda mrefu bila kula wala kunywa katika hiyo list...
  8. Mzimu wa Kolelo

    Wakazi wa Dar es salaam kulazimika kutembea na oksijeni baada ya miaka mitano

    Ni kweli analosena barabara alizojemga mchina za mitaa kakata sana miti na akuacha hata sehemu ya kupanda miti Tofauti na barabara zilizojengwa na Mjapani KONOIKE Mfano mnzuri angalia kawawa road ilikuwa ina miti mingi pembezoni mwa barabara ambayo iliacha space Ukija barabara za mtaani mchina...
  9. Mzimu wa Kolelo

    Rais Samia akutana na rafiki yake waliyesoma shule ya Msingi na sekondari

    Kwa hiyo sisi tufanyaje Hiyo NYUMBA imewekwa X Ivunjwe hata ndio nyumba ya SHOGA ake ivunjwe tu kupisha maendeleo
  10. Mzimu wa Kolelo

    Inawezekana vipi mtu kuweka roho yake kwenye mti?

    Sawa umeeleweka una facts nyingi za kisayansi amabazo umeeleweka safi kabisa je kwann ikifuatwa prosija za kimila mgonjwa hufa eidha ndani ya masaa 6 12 24 48 zimezidi sana 72 ours una lipi la kutuelezea kisayansi Na je pia vipi Unaweza kutuelezea wazazi wetu wa KIAFRICA akiumwa sana AFI mpka...
  11. Mzimu wa Kolelo

    LIVE UPDATES: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Iran na Israel

    Nafikiri tumekubaliana BABA WA MIDDLE EAST no IRAN ujumbe umefika Tunasubiri Majibu ya ISRAEL tuone moto utawakaje ISRAEL akijibu direct kutoka kwake kwenda IRAN basi hii itadhiirisha ISRAEL ni mwanaume Hapo sasa ngoma itakuwa mbichi Tutegemee F 15 zikimwaga cheche TEHRAN wakati huo sasa zike...
  12. Mzimu wa Kolelo

    Mashariki ya Kati mfumo wa GPS haufanyi kazi

    Kunakuwa na plan 1 plan 2 plan 3 na nakuendelea Moja ya malengo ni kuonesha kuwa yeye mwanaume na anaweza Kuonesha anazo silaha ambazo anaweza kufanya chochote wakati wowote nchi yoyote Sasa hapo Vidrone 100 tu vimeisimamisha DUNIA kwa muda tu Huoni kiwa malengo yametimia Au wewe ulitaka apige...
  13. Mzimu wa Kolelo

    Mashariki ya Kati mfumo wa GPS haufanyi kazi

    Hapo sasa ndio huwa nawaambia WASUNN wa TANZAGIZA ONYL IRAN na AFGHANISTAN hizo ndizo DOLA ISLAMIC pekee zinazosimamia misingi ya ISLAMIC na Zinazopipigania UISLAM na MASLAHI yake lakini wajomba hawawezi kukuelewa sasa WAHABI WASUFI nk Kama ni habari za kweli Sijui wataficha wapi Sura zao...
  14. Mzimu wa Kolelo

    Mashariki ya Kati mfumo wa GPS haufanyi kazi

    Hao jamaa watu waBAD sana katika NCHI za kiislam zisizo na unafiki Haa wamba nawakubari sana Hawana tabu wao kazi kazi miaka yote
Back
Top Bottom