Recent content by mzeyaa

  1. mzeyaa

    Mimi ningekuwa.

    ndomana ww cyo zito
  2. mzeyaa

    Wife Anazingua

    mzee mwanaume ni lazima uwe na msimamo wakiume aswa wakati mwingine siyo kila asemalo mkeo basi ulifwate leo amtaki hg kesho atamtaka ndugu yako kesho mzazi wako atakwambia kama utaki anaenda yy so mwambie aende kama niiyo mimba inamzingua imzingue kabisa muda ukifika atarejesha miguu nyumbani...
  3. mzeyaa

    Wazanzibar muungano tutaununua...

    Ningefurahi sana kama zanzibar ikiwa nchi yake inayojitegemea yenyewe bila kufungamana na tanganyika ili kila mmoja aijenge nchi yake na watu wake.sababu zanzibar awataki na aina aja yakulazimisha muungano usiyo na tija kwa zanzibar na tanganyika coz sijaona manufaa yoyote yatokanayo na muungano...
  4. mzeyaa

    Mtei: Zitto Hahitajiki ndani ya CHADEMA, Uamuzi wa Kamati Kuu ni wa Mwisho!

    mzee mtei ni mfano wa kuigwa ktk uongozi wa chadema
Back
Top Bottom