Browsing haili Mb nyingi kama una browse vitu vilivyo katika mfumo wa maandishi, ila kama una browse media na kuzi stream hapo ndio utatumia MB nyingi.
Upande wa pili kama PC yako inakula MB nyingi pindi unapokua umeunganisha data, basi changamoto itakua ni background processes kama vile auto...
Ingekua vema ungeainisha unahmuhitaji kwa shughuli gani na details nying za msingi, maana kikawaida watu wanakua busy na matangazo kama haya ni rahisi kupuuzia maana kama mleta tangazo hawezi kueleza vizuri mahitaji yake kamili utajiuliza je atawezaje kumeet standards za maelewano mengine?
Hili andiko ni zuri ila limekaa kidini sana kiasi likapoteza muelekeo.
Naweza kusema kua jiwekee malengo makubwa na sio yasiowezekana, Push yourself beyond the limit and you will be astonished with what you can accomplish!
anyways, KUDOS!
Hakika sana, muamko wetu kiteknolojia sisi kama watanzania ni mdogo sana, jirani zetu wakenya wametuacha pakubwa hivi sasa, changamoto nadhani ni kua sisi wenyewe tumebweteka sana na kuridhika na maisha yetu ya kila siku hivyo linapokuja swala la kudevelop skills individually linakua mtihani...
Mkuu safari ya kujifunza inatofautiana na mtu na mtu, mimi nimeanza kujifunza low level programming i.e bash scripting then nikaja C, baada ya hapo nikaja High level programming ambayo ni python na sasa nipo javascript. HTML na CSS pia nilizifanya ndabni ya muda mfupi sana, mean while humo...
Hapana kwa mtu yoyote anaweza muhimu dedication tu na hardworking, mwanzo utaona ni vigumu huvielewi ila baadae kadri unavyoendelea ndio vinazidi ku-make sense.
In reality ni kua tech field ni ngumu na inahitaji kujitoa, ukiingia mitandaoni utakutana na tech gurus kibao wanakupa matumaini fake...
Hili bandiko halikua la kila mtu.
Mtoa mada aliandika maalumu kwa hustlers na vijana wanaopambana kufika mbali kimaisha.
Kuna sababu kuu kwanini watu waliofanikiwa katika hatua kubwa ni asilimia 5 tu kati ya 100.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.