WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda, amesema Tanzania imefanya vizuri katika elimu, kupunguza umasikini na kukabiliana na magonjwa ya Malaria na Ukimwi.
Alisema juhudi hizo zinafanyika, ikiwa ni katika utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo ya Milenia (MDGs) na itajitahidi kukamilisha malengo yaliyobaki...
Inawezekana hii ni nguvu ya RA. Kwani alikuwanaye Voda, akamtoa na kumpa uwezo wa kugombea ubunge/Uwaziri wa Nishati (Caspian ndiye mbia mkuu wa kampuni za madini) ili aje alinda maslahi yake. Hivyo inawezekana ni mwendelezo tu wa mambo hayo. Something is wrong somewhere kwa hawa wapinzani...
Tungoje wote wakianza kampeni, ndipo tutajua. Lakini ieleweke kuwa watanzania hasa huku porini/kijijini kwetu wamechoka sana. Nashindwa kuelewa wanatoa wapi nguvu hizi za kuhudhuria minkutano.
Gazeti la Mwanahalisi la leo (August 11-17) limetoa taarifa ya Ikulu kufadhili kampeni za CCM kwa kuchapisha fulana na picha ya Rais. Sijui hii ni EPA nyingine, sina uhakika. Naomba tujadili.....
Mzeewapori
Jamani naomba kuwasalimie wote kwenye jukwaa hili la siasa. Kwa vile bado nipo porini, nitawasiliana nanyi baadaye ili niwape vizuri habari za huku porini
Mzeewapori
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.