Upinzani ulifikiri mwendo utakuwa ule ule wa serikali ya Kikwete sasa chuma kipo madarakani waache waisome number.Democracy gani wanayotaka ya kila siku kuandamana.Ss wananchi tunataka maendeleo.
Hii inamaanisha wanasiasa ni wanafiki wanajali maslai yao na matumbo yao kuliko wananchi waliowachaguwa.Baada ya kubanwa maslai yao wanataka kulia na sisi.Mbona wakiongezwa posho hawaombi support yetu tutumie nao.
Why na yeye alikubali kutudanganya watanzania watuzuge na raisi eti anajiuzulu kifekifeki kiongozi kama yeye hafai.Kwa nini anachukuwa fedha za matajiri kutoa misaada makanisani na misikitini hatufai matajiri watamdai akiingia ikulu. Team Magufuru hana makundi nje na ndani ya chama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.