Recent content by mzeemandevu

  1. mzeemandevu

    Taja mwiko, mila au desturi za kabila lenu au mahali ulipokulia

    Dada zumaridi anaimbiwa baba zumaridi kanisani kwake Sisi wakurya wanawake wanaoa wanapata uzao ila hawaitwi baba, ni mwiko
  2. mzeemandevu

    Taja mwiko, mila au desturi za kabila lenu au mahali ulipokulia

    Hahaha😂😂😂, sio mwiko huo watu wanajua kutumia tafsida
  3. mzeemandevu

    Nimeona mengi, wewe umeona nini?

    Dah! Hii ni hatari. Niliiona kwa jamaa yangu mmoja
  4. mzeemandevu

    Kuishi na watu kazi; Alikuja kusaka life ila soon namtimua

    Take time mbadilishe taratibu, atakuja kubadilika ila kwa kila tukio mweleze na kumwambia jinsi gani anakosea na nivipi afanye itakuwa poa.
  5. mzeemandevu

    Mkakati wa miaka yangu 6 tu kwenye ajira

    Majukumu ya familia ni balaa
  6. mzeemandevu

    Mfanyakazi wa kike wa GGM ashikiliwa na Polisi kwa kumvisha Pete Mwanamke mwenzake

    Hakuna mila ya kisukuma ya ivyo nimekulia kwa wasukuma sijawahi sikia hicho kitu umechanganya na wakurya but nao sio vitendo ivyo. Moja kati ya malengo ya ndoa ni kupata watoto. Sasa hawa watapataje watoto
  7. mzeemandevu

    Harusi na send-off ni utamaduni mbovu, wengi wanakonda kwa stress za kufanikisha sherehe

    Kivip, kumbukumbu? Wakati mwisho ni stress za madeni
  8. mzeemandevu

    Unatatuaje ugomvi au mashauri yanayohusu wazazi?

    Katika familia baadhi ya familia migogoro ni mingi na utatuzi unatofautiana kulingana na mila na desturi za wahusika. Naomba tupeane mbinu ni jinsi gani mnashiriki kutatua ugomvi au kusuruhisha mambo yanayohusu wazazi wako.
  9. mzeemandevu

    Una uhakika gani kuwa u mtoto wa baba'ko?

    Jamaa bado anaishi kwa baba mlezi na anamsaidia sana as if ajui kuwa si baba take mzazi.
  10. mzeemandevu

    Una uhakika gani kuwa u mtoto wa baba'ko?

    Kunajamaa ye alilelewa na halikuwa akiamini in Mtoto wa familia ya baba mmoja jirani hapa lakini jinsi alivyo kuwa akawa anaonekana kufanana almost kila kitu na ex wake. Kwa waliokuwa wanafahu uhusiano uliokuwepo walianza minong'ono ya chini chini hatimaye wanafamilia na ukoo wa yule baba...
  11. mzeemandevu

    Nina huzuni kwa kutopata Mafao ya PPF mpaka uzeeni

    Inauma sana pesa zetu kufanywa mtaji wa viwanda. Kuna risk kubwa sana kupata pesa izo uzeeni kwani wanaokopeshwa kujenga viwanda hawatabiriki. Siasa inapoingilia mambo ya uchumi.
  12. mzeemandevu

    WCB ni jeshi la mtu mmoja na alikiba ni muungano wa timu zipatazo 5

    Hilo haliwezekani siku 365, ni masaa 8760
  13. mzeemandevu

    Nimeponea chupuchupu kuuawa kwa mchepuko

    Mchepuko sio dili, ni kujiingiza kwenye chain mpya ya mapenzi hasa pale mchepuko unapo jua kua we uwezi kuuoa na unafamilia yako. Ungefanywa vibaya.
Back
Top Bottom