Ndugu wana jf,
Napenda kutoa pendekezo kwa Rais Mama Samia Suluhu Hassan na kwa Makamu wa Raisi Dr. Mpango pia na kwa Waziri wa Elimu Mama Ndalichako mtukumbuke Watanzania kutoka Kigoma kutujengea chuo kikuu maana tanguu uhuru mpaka sasa hatuna chuo kikuu hivyo napenda kukumbusha tuu hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.