Recent content by MZEE WA USSOKE

  1. M

    CHADEMA wanyimwa ruhusa kutumia Uwanja wa Taifa Kwenye uzinduzi wa Kampeni

    Amani kwenu wana Ukawa, Wadau tunaomba kujua mapema uzinduzi utafanyikia wapi kesho baada ya kukosa nafasi uwanja wa Taifa.?
  2. M

    Mgombea wa CHADEMA Mufindi Kaskazini Ajiunga ACT

    Hili ndilo swali LA msingi... Kwani majina mnayatoa lini Chadema ? Jana MTU mmoja aliandika humu kuwa yanatoka Leo mpaka muda huu kimya kulikoni?
  3. M

    Malaika wa kuzimu, anaita watu makundi kwa makundi

    JULIANA SHONZA: nalizimika niseme kidogo mambo machache kutokana na kulihusisha Neno la Mungu aliye hai na upuuzi wenu wa kisiasa... Ni kosa kubwa sana kupotosha maandiko ili kuhalalishi mawazo yako ,jaribu kuliheshimu Neno la Mungu utakuwa salama, Biblia inasema " Usihukumu usije...
  4. M

    UKAWA yako wapi majina ya wagombea ubunge na mgawanyo wa majimbo yenu?

    Wasemaji wa UKAWA mmekuwa kimya sana juu ya nini kinaendelea kwenye vikao vya uteuzi..muda tulionao siyo rafiki, kwani hata mgombea anayeteuliwa anatakiwa ajue mapema na ajipange kwa kampeni.. Mtaani tunakosa majibu tupeni mwelekeo tafadhali
  5. M

    Oparesheni Delete CCM Jimbo La Urambo

    Asante kamanda kwa taarifa.....ila majina ya Watia Nia umeyakosea....huyo siyo Leonard anaitwa DERRICK LUHENDE mjukuu wa T.S.Mapolu na huyo mwingine ni SAM NTAKAMLENGA...hapo sawa....CCM Urambo sasa basiiiiiiii...
  6. M

    Urambo mashariki kwa Mh.Sitta mambo yameiva

    KDS : uwe fair kidogo, chuki binafsi siyo nzuri,bahati nzuri sana mimi na wewe tunafahamiana sana,funguka wanajisikia katika lipi hawa watu....kwa mtu yeyote anayeufahamu vizuri huu ukoo wa Mapolu,hawezi sema maneno hayo unayosema...Jumapili njema na Mungu akubariki
  7. M

    Urambo mashariki kwa Mh.Sitta mambo yameiva

    Kiboko ya mengi: unamfahamu Pastor Derrick au umeamua kumchafua tu...?
  8. M

    Urambo mashariki kwa Mh.Sitta mambo yameiva

    Nawasalimu wote watanzania wenzangu, Amani iwe kwenu: Jimbo la Urambo mashariki limeongozwa kwa miaka mingi sana na Ndugu Samuel Sitta, Na sasa ametangaza kutogombea na anataka kumwachia jimbo mke wake Mama Magreth Sitta,nadhani dhana za kuachiana madaraka kifamili imepitwa na wakati...
  9. M

    Uchaguzi Serikali za Mitaa 2014: Matokeo kutoka nchi nzima (TZ Bara)

    kitu kilichonifurahisha ni kijiji changu cha Ussoke mlimani kinaongozwa na Chadema chini ya Jackson kitwe...hongereni sana wana ussoke na vitongoji vyake vyote,Ichecha,Ngalamira,n.k.. Mapambano yalikuwa makubwa sana...mama Sitta na kundi lake akina Malunkwi diwani toka Izimbili,na wapambe...
  10. M

    Uchaguzi Nyamagana waingia dosari vurugu yanukia

    Mwanadamu hawezi kushindana na Mungu....Mungu tuepushie hili
  11. M

    BAVICHA, BAWACHA rushwa nje nje

    "Ajionavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo"
  12. M

    Baada ya kushiriki na kushindwa uchaguzi nina haya ya kusema kwa uongozi mpya BAVICHA

    Maandiko yanasema "apandacho mtu ndicho atakacho vuma" dhambi hii ya ubaguzi wa kidini unayoipanda kwenye akili za watu,Mungu atakudai damu ya Watanzania . Bahati nzuri sana Mungu yupo mahali pote,anajua yote,na anaweza yote. Kujificha kwenye ID zenu,hakumzuii Mungu kukushughulikia...
  13. M

    2015 ni Mizengo Pinda anaestahili kuwa rais

    Kwani saa hizi ni saa ngapi? Usiku au mchana kwa saa za Afrika ya mashariki.....!!? nikijua nitachangia kidogo
  14. M

    Uchaguzi mkuu BAWACHA kutoka Mlimani city

    Kwani mwenyekiti wa UWT Taifa ameolewa? Naomba kujua tafadhali..!
  15. M

    Uwezo wa Mwigulu ndio huu hapa

    Mwigulu ni janga la kitaifa(Dengue)
Back
Top Bottom