"Mtanikumbuka" Mkapa
Ebu chukua muda kidogo na kusoma alichoandika huyu so called Deputy Minister of Financy of what called Tanzania!!!!!
KWA WANA CCM WENZANGU:
Kazi ya kuigaragaza CUF na kuiweka Mahali wanapostahili
Ilifanyika Mapema na kwa Ustadi Mkubwa, Wakati tuko ktk
Mchakato wa Kuishuhulikia CHADEMA ili nayo tuwaweke
Wanapostahili, Bunge la Katiba likajitokeza na Kuwanusuru,
Wasiwasi na Hofu ilowapata, wakaamua kuunda Njama na
Kuwakokota CUF ambao tayari hawjitambui Chini ya Bango
la UKAWA kwa sasa wako katika mataarisho ya kuizunguka
Nchi ati kuwaelimisha wananchi juu ya Katiba. Jambo jema ni
Watanzania wako Makini. Itawashangaza Watanzania kuwaona
Watu walitoka Bungeni kwa kukimbia Majukumu walokabidhiwa
Rasmi wakipita mitaani na Hadhi za Ualimu wa KATIBA, katiba
ambayo RASIMU yake tu Imewalewesha, Wakachukuwa POSHO
na KUTOWEKA!! Ni juu yetu Wana CCM kuwatahadharusha
Wananchi Wasipoteze wakati wao kuwasikiliza Watu Walofeli
kwa Kushindwa Kutekeleza Wajibu wao na Majukumu Waliopewa
na Badala yake Kulalamika na kutoa Visingizio kama Watoto wadogo!!
Yupo sawa, mseme msemavyo Mwigulu ni moto kwetu maana yeye anacheze vyovyote mtakavyo , mkipaki basi yeye anafunga kwa free kick , mkiweka chini yeye anafunga kwa kisigino mwisho wa game ni 5-0 mtakubali tuu na Ukawa yenu kwa wananchi wamegundua c lolote c chochote.
Wananchi wamegundua si lolote si chochote? Una uhakika na usemalo au umaridhisha nafsi yako tuu?
View attachment 158860
Sent from my iPad using JamiiForums
Ukawa wamechanganyikiwa mwigulu atawafanya mbaya,jembe la ccm.Yupo sawa, mseme msemavyo Mwigulu ni moto kwetu maana yeye anacheze vyovyote mtakavyo , mkipaki basi yeye anafunga kwa free kick , mkiweka chini yeye anafunga kwa kisigino mwisho wa game ni 5-0 mtakubali tuu na Ukawa yenu kwa wananchi wamegundua c lolote c chochote.
ni kweli tutamkumbuka kwa kuliibia taifa hili na kutuingiza kwenye matatizo kama ya radar, magari ya jeshi, epa, ndege ya rais mpaka tukala nyasi, iptl, mwananchi gold, kiwira, anaben bank, kuuza NBC, kukodisha tenesco kwa makaburu na mengine mengi! bila kusahau udikteta"Mtanikumbuka" Mkapa