Recent content by Mzee wa ndola

  1. M

    Mkutano wa CHADEMA ndani ya Mbeya Leo

    Tarehe 14/12/2011,mikutano kama hiyo itaendesha kwa kila wilaya,tarehe 21/12/2011,kila kata na tarehe 28/12/2011,kwa kila kijiji.Baada ya hapo,Chadema Taifa litawaelekeza nini cha kufanya wananchi hasa pale kama maoni yao hayatasikilizwa.Kikubwa zaidi,ni kwamba kama hakutakuwa na mabadiliko...
  2. M

    Madhara ya unywaji wa soda kwenye afya ya Binadamu

    mdau ukitaka kupunguza weight jitahidi kufanya mazoezi yanayohusisha "multiple muscles" kwa mfano kupiga Pushapu zilizo sahihi na pia kuzingatia chakula kwa mfano kupunguza kula vyakula vyenye wanga nyingi...there utajionea mwenyewe.
  3. M

    Tanzania: Kushuka kwa thamani ya shillingi, mfumuko wa bei na siasa zetu!

    Raisi J.Kikwete katika hotuba yake ya kuzungumza na wazee wa mujini Dar-es Salaam hivi karibuni aliweza kugusa masuala muhimu yanayoikabili Nnji hii ikiwemo suala la mfumuko wa bei “inflation”. Raisi alidai kwamba tatizo la inflation si kwa Bongo land pekeyake bali ni suala la kimataifa na hii...
  4. M

    Maandamano ya Kumpinga JK Washington DC

    umoja ni kitu muhimu sana katika kuleta mabadiliko...umoja ndio uliotufanya Tz tukapata uhuru..umoja ndio ulitufanya kumweka madarakani Baba Riz kwa mwaka 2005 na umoja huo huo ndio utakaotufanya Baba Riz aondoke madarakani. Watanzania kwa pamoja tuamke kuipigania nchi yetu ya tanzania...naunga...
  5. M

    Lema afunua siri za muafaka wa madiwani Arusha

    da!..inauma sana kwani hizo pesa alizotaka kuhonga mi naamini kabisa ni kodi za wananchi ambapo MAFISADI walizichota kunakohusika na kumpelekea jamaa na kwa sababu jamaa hana uchungu na wananchi wake akazipokea kwa ulaini...sasa ukweli umedhihirika embu watanzania tutafakari na tuchukue hatua.
  6. M

    FULL TEXT: Hotuba ya Lema bungeni

    Mungu ibariki tanzania..wabariki watanzania na pia uwabariki na kuwapa nguvu viongozi wetu walio wachache wanaotetea maslahi ya watanzania, ameni.
  7. M

    Samaki wenye sumu ya mionzi ya nyuklia waingia Dar

    nafikiri kwa matukio yalivyo nchini Tz serikali ya sasa tuiite ni "Liberating Government" kwa sababu u can behave as u like and no body cares.
  8. M

    Staa wa bongo akiri kuliwa uroda na wanaume 10

    congratulations to the actress!..ninasema hivyo maana wasaniii wetu wengi wa wabongo especiaally girls filamu zao nyingi zinatueleza moja kwa moja ni kama mahali pa kutangaza soko la miili yao. kama unabisha chukua movie yoyote ya kibongo halafu itizame uone.
  9. M

    KKKT na babu Loliondo wanang'ang'aniana mapato ya tiba

    kudadadeki.........from now onward i have to trust no body except 4 maself......kama askofu anamezea mate mihela ya kwa babu basi hakuna kanisa hapo bali ni taasisi ya kutafuta mavumba na sio kuwatengeneza watu kiroho. tehe..tehe...tehe......!
Back
Top Bottom