Habarini wakuu , mtaa ninaoishi kuna jamaa ana mpenzi wake ambaye alia za nae mahusiano akiwa na elimu ya standard seven na yeye ni mtumishi elimu take PhD , amemsomesha mpaka level ya degree Leo imefika suala la kuoana kamkataa jamaa kahamua kumnyang'anya vyeti vyote , mpaka sasa jamaa...
Habarini wakuu nimekuwa nikichunguza mahusiano ya kirafiki au wapenzi imenishangaza sana kwa nini wadada wengi huwa wanakuwa wazito sana kutuma SMS au kupigia simu wenzi wao au Rafiki zao ,mara unakuta mpigaji simu ni mwanaume zaidi kuliko mdada , hivi hizi tabia ni wadada wote wanazo au ni...
Wakuu natumaini wote wazima hivi kwanini wadada wengi wanakuwa wagumu kutoa namba za simu wakiwa kwenye sehemu ya watu wengi kama sokoni, balabalani,kanisani nini sababu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.