Recent content by Mzee wa Kusita

  1. Mzee wa Kusita

    Serikali yataka umakini na tafiti juu ya kuruhusu matumizi ya bangi

    Mheshimiwa usisite kuiruhusu tafadhali. Mm npo tayari kwa kilimo icho[emoji4]
  2. Mzee wa Kusita

    Naomba leo mniache niseme na Wasabato, nimeamua kuamka nao leo

    Upo nyuma ya muda. Apo sijui mjinga ni nani.
  3. Mzee wa Kusita

    Maisha ya sasa Mwanaume na Mwanamke ni maadui wakubwa, tusitegemee tena ndoa kudumu

    Mahusiano yanahitaji uhalisia wa maisha kabla ya ndoa, maigizo na pretending za hapa na pale ndio zinazo poteza hisia.
  4. Mzee wa Kusita

    Uhuru wa maoni uwe na mipaka. Kinachoendelea sasa hivi Tanzania ni uchokozi

    Hofu yako wewe ni vita n machafuko. Hatuna budi Kihistoria Israel ni Taifa la Mungu ila walipambania Haki yao wenywe.
  5. Mzee wa Kusita

    Gerson Msigwa ya nini unateseka namna hiyo?

    Jamaa amekaa kiumbea umbea sana
  6. Mzee wa Kusita

    Wanaume badilikeni fanyeni maendeleo, umri haurudi nyuma!

    Acha kuzungumza kwa hisia Kali ivi. Ongea na umshauri huyo mwanaume wako. Sio wote tuna huo upumbavu. Heshima ichukue nafasi yake. Kaa chini na ujiulize alichokosea kwako ni nini? Na ni kipi kinachokufanya ushindwe kumtreat mwanaume wako adi afikie hatua ya kuwa na mahawara? Ukipata majibu Kaa...
  7. Mzee wa Kusita

    Ananiambia nijipange, kwao Mahari huwa ni kubwa. Nimempa assignment

    Ofcourse suala la mahari lina thamani sana kwa binti aliejutunza la sivyo hapaswi kupewa heshima ya kutolewa mahari. Ubarikiwe upate mabinti na wewe...
Back
Top Bottom