Recent content by Mzee wa Hekaheka

  1. Mzee wa Hekaheka

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimekubali bora nigharamikie tu lakini kamwe sitakuja kununua malaya

    Haya tuseme ndiyo umemkuta 1 au 2 site, bei elekezi 5k na chumba, utapiga au unaacha?
  2. Mzee wa Hekaheka

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukweli Mchungu: Wadangaji tuna Maisha mazuri kuliko Wanawake walio Ndoani

    Definition Yako ya maisha mazuri ni ipi?
  3. Mzee wa Hekaheka

    JamiiForums Tanzania Mwendokasi mpya zimewasili ✅

    Tunazipa miezi 6 ya kutamba 😀 baada ya hapo zitashinda gereji za gerezani, Wabongo unawajua unawaskia?
  4. Mzee wa Hekaheka

    JamiiForums Tanzania Kwa wanaofahamu changamoto za Tv za mkopo ni zipi?

    Wapo wengi sana tu siku hizi ndiyo mtindo
  5. Mzee wa Hekaheka

    JamiiForums Tanzania Kwa wanaofahamu changamoto za Tv za mkopo ni zipi?

    Kwa wale wanaofahamu au waliowahi kuchukua tv ya mkopo na kulipa kidogo kidogo kila mwezi, Je changamoto ni zipi? Pia vipi kuhusu Tv ya Vitron? Mbona zinauzwa cheap sana? Kuna anayefahamu?
  6. Mzee wa Hekaheka

    JamiiForums Tanzania Assistant Team Lead – IT (Network and System Security) – (Re-advertised) at School of St Jude August 2025

    Hawa kutwa wanatangaza nafasi wanarudia rudia, Watakuwa na tatizo
  7. Mzee wa Hekaheka

    JamiiForums Tanzania Nimeanika mahindi nje nimekuta hali hii, Naombeni ushauri wenu

    Analalia chakula, dah imeniuma sana
  8. Mzee wa Hekaheka

    JamiiForums Tanzania Nimeanika mahindi nje nimekuta hali hii, Naombeni ushauri wenu

  9. Mzee wa Hekaheka

    JamiiForums Tanzania Acha nitulie sasa nimalizie series yangu kali sana

  10. Mzee wa Hekaheka

    JamiiForums Tanzania Ilibaki kidogo niunguze mboga

  11. Mzee wa Hekaheka

    JamiiForums Tanzania Umewatambua hawa wanakwaya wa band moja iliyotamba sana miaka ya 70's

    Hao walitamba sana enzi hizo
  12. Mzee wa Hekaheka

    JamiiForums Tanzania Nimeponea chupuchupu kufanywa vibaya

    Rushayna huyo! mtoto shombe shombe, Mpaka leo ananikumbuka bado tunamawasiliano japo alishaolewa kitambo
  13. Mzee wa Hekaheka

    JamiiForums Tanzania Nimeponea chupuchupu kufanywa vibaya

    Watu hatari sana hawa 😀😀😀
  14. Mzee wa Hekaheka

    JamiiForums Tanzania Nimeponea chupuchupu kufanywa vibaya

  15. Mzee wa Hekaheka

    JamiiForums Tanzania Nimeponea chupuchupu kufanywa vibaya

    INAENDELEA Haya maisha aise, Mzee wa hekaheka chini nimekula pensi yangu ya misele, Juu Tshirt nyeusi chini raba fulani za elfu jero. Hiyo ndiyo mikato yangu, Kila mida ya jioni huwa nazama kitaa kujichanganya na wana vijiweni kupiga stori mbili tatu za mpira na kucheki baadhi ya game za siku...
Back
Top Bottom