Recent content by mzee wa fix

  1. M

    Plot4Sale Nahitaji Kiwanja DSM cha Sqm 800-900, location KIGAMBONI Dege, Geza, muongozo, mwembe mdogo, cheka au KINYEREZI, kisiwe mbali na Main road. Offer 13M

    Mwenye nacho ambacho hakizidi Km 1 kutoka main road aniwekee namba ya simu, tuwasiliane.
  2. M

    Je kuna uwezekano wa kuzuia ndevu?

    Midevu bila ya pesa nyau ww big mind
  3. M

    Je kuna uwezekano wa kuzuia ndevu?

    Naomben kujua jee kuna uwezekano wa kuzuia ndevu na kama upo no njia au dawa gan zitaweza kuzuia ndevu..msaaada wa mawazo tafadhali?
  4. M

    Division 1 na 2 tu kwenda degree? Mbona kazi ipo

    Nimekoseaaaa n udsm cyo udom ..kuwa mwelewa bac
  5. M

    Division 1 na 2 tu kwenda degree? Mbona kazi ipo

    Nina audio ya maneno wakat prezdaaa alpokuwa udom akizndua maktabaaa utaumbukaa ww nikiituma
  6. M

    Tuliopangwa Pugu boys tukutane hapa

    Watu waliopangiwa Pugu au kusoma Pugu high School, A-level tuonane hapa. NB: Naomba mnitumie picha za Pugu boys mtoto wangu kapangiwa hapo
Back
Top Bottom