Recent content by Mzee wa Dawa

  1. M

    Hedaru: Basi kampuni la Kilimanjaro lagongana na gari ndogo

    Mabasi ya abiria yanazidisha mwendo na hatua hazichukuliwi kama ilivyokua wakati wa sumatra. Rushwa!
  2. M

    Le Mutuz case: Ubovu wa Sekta ya Afya Nchini

    Aliviagiza kwenye hospitali ngapi?
  3. M

    Kwanini wafanyabiashara wanakwepa kusajili stoo zao? Taarifa zinasema wamejaza mali za magendo baada ya kuziingiza nchini isivyo halali

    Jiulize kwanza ni kwanini wanarisk kuingiza mizigo yao kwa njia za magendo? Pili jiulize kwanini mizigo haikamatwi kabla ya kufika kwenye hizo store?
  4. M

    Ulipata kujiuliza Unabii katika Mathayo 24:14 utatimizwaje?

    Kama huoni umuhimu wa Russia na Putin kwenye hii dunia ya leo, utakua haoko sawa.
  5. M

    Waliomuua Dkt. Isack wa Nyamongo HC wakamatwe haraka

    Ndiyo maana hujawa na uwezo maana ungeishia kufanya ujinga mtupu!
  6. M

    Naomba mnitajie stori za Umughaka

    Kazi nzuri sana. Hongera kwa kipaji
Back
Top Bottom