Kuna classmate wangu wakati nipo chuo alikutana na kitu kama hii, mtiti wake ilikuwa ni kisanga, hostel nzima tulikuwa tunaenda kumuamulia pale anapokabwa, cha ajabu sasa jamaa alikuwa anampenda demu vibaya sana
Hawa simba na azam kwa pamoja walipigwa jumla ya magoli ma 5 na Yanga hapo juzi kati tu kweny ngao ya jamii. Itoshe kusema Yanga bingwa tena kwa mara nyingine
Sasa tuelewe lipi ndugu zangu wa simba? Tatizo ni Mangungu hafai? Wachezaji ni wazee? Timu inahujumiwa? GSM anatembeza bahasha? Au ni uchawi kileleni mwa mlima kilimanjaro?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.