Wengine wanakuwa wametoka kwa mganga jana yake na wanakuwa wamepewa maelekezo haya;
"Mtu yeyote atakayekuwa wa Kwanza kufika nyumbani kwako asubuhi...ndiye
1. Ameroga biashara zako zote.
2. Ameroga ufukuzwe kazi.
3. Amefunga wanao wasioe/wasiolewe.
4. Ameroga mkeo akafa
5. Ameroga nguvu zako za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.