Recent content by Mzee Nyani

  1. Mzee Nyani

    Harambee ya CHADEMA - Naura Spring, Arusha

    Mweeee,nina ka mia4 na nusu hapa niwafikishieje ?
  2. Mzee Nyani

    Kampeni za CHADEMA Arumeru - Updates

    Ushindi umesha tabiriwa kwenye gazeti la RAI,chadema acheni kuhangaika huko mnapoteza hela.
  3. Mzee Nyani

    Dr. Slaa Arumeru Wangekuuliza hivi..... UNGEJIBUJE??

    Hapa ndipo napo muheshimu mutikila,hana ubabaishaji wa hovyo hovyo kama wanasiasa wengine,yeye kama mtanzania ni haki yake kumshitaki yeyote anae iba mali za serikali. Dr.Slaha hana chembe ya ukweli.
  4. Mzee Nyani

    Dr. Slaa Arumeru Wangekuuliza hivi..... UNGEJIBUJE??

    We nae ulisha ambukizwa tabia za kishabiki shabiki. Jibu hoja,kwanini hukupeleka unao waita mafisadi mahakamani? Mbona umeweza kufukuza watu chamani na kumuweka mtu wako ulishindwa nini kuiga mfano wa Mtikila? tumechoka na uongo wa wanasiasa (najua utasema "tumechoka" namuwakilisha...
  5. Mzee Nyani

    C.u.f mumeo c.c.m yupo hoi arumeru!

    Ati hii nayo yaitwa home ya great thinkers? Kweli watansania hamko naso.
  6. Mzee Nyani

    Hivi ukitaka kufanya mapenzi na mke/mpenzi wako unamwambiaje?

    Tafuta bibi ukatulie nae kwa home utajua tu ati.
Back
Top Bottom